Kula tunda kwa kipindi iki cha vyuma vimekaza ni rahisi sana sema sio kula kimasihara ni kuwa unaedhania wamla kimasihara kumbe nae alishakupangia


Pana demu niliwahi mtongoza mwak2016 kabla sijala mzigo akahama eneo nilipo juz jion kaja kumchek Dadake kanipa namba nimekumbushia tu kuwa alihama bila kunipa huwez amin Leo kanambia mim tu nipange mda sasa hiyo badae nala kimasihara au
 
kuna yule mwanamke aliyeficha ATM cards kwenye tunda lake, bahat mbaya ATM cards amepigwa life-ban lkn angekuja kuleta stor hapa ya kufaid tunda lile.
 

Mkuu mkeo kajifungua binamu yako. Noma sana
 
mechi imeisha,
njoo uendelee bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…