Mkuu nina walakini na seminary yako.Hawa vijana wa seminary wanakuaga bright sana hadi kwenye uandishi.Ona sasa stori nzuri mpangilio mbovu sana.
 
Kwa uzi huu lazima cku zetu za kuishi ziongezeke
 
Unatisha ndugu
 
Hii love story kabisa, kuna baadhi ya makosa sio makosa kabisa.
 
Ina maana mpaka ss hujawahi hata kwenda kuulizia kwenye kile kituo ujue kama bado yupo Roma au kama alisharudi nyumban?!...
 
Hatar sana hii
 

Kweli umesoma mpaka kidato cha sita na ukaenda rome?

Mbona mimi nimesoma mpaka la saba na nikaenda najilinji ila naandika kwa ay vituo na mikato.


Huko rome ndo mnafundishwa kuandika vifupi visivyoeleweka?


Aiseee
 
Ooh...! Back in days......
Enzi hizo nimemaliza form six kurudi na nina miaka kama miwili hivi cjawahi ona k ya mwanamke yeyote...
Nafka home nakuta kuna ma madam wawili ajira mpya wamepangisha home. Mmoja wa kawaida ila mwingine yuko vizuri kias coz ni mtu wa mbeya so zigo la kuvunja chaga la kumwaga...

Story inaanzia cku moja ameniita kwake tupige story coz nilkua cna mazoea nao kivilee...baada ya story kdg mtt akaniomba simu.

Narudi geto kulala naona namba mpya ina nitext nauliza nani akajitambulisha nikasema poa..

Mazoea yakaanzia hapo kila cku story za kawaida sababu tulkua tunachukuliana kama dada na kaka.
Cku moja tuko zetu sebleni tunacheki muvi alafu maza yuko chumbani tukawa tunapigana selfie kwa phone ake..kama masihara nikampa kiss mtt kalipokea aaah nikavmvutia kwao nikapiga mwenyewe...

Bas mchezo ndio ukawa umeanzia hapo kila cku napiga sometimes anatoroka ckuli anakuja napigaa...

Tumekuja acha baada ya mm kwenda chuo nikawa naskia Kuna jamaa mwingine anapiga daah bas bana....
 
Ulibakwa? Hukwenda kuripoti?
 
Ahahahaha mkuu mwishonj hapo umekuoa mnyongeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…