chafu tu huo mkuu. awa wafanyakazi za ndani tena wadogo kama huyo wanao jua kuoga ni wachache sana ukizingatia wametoka kijijini[emoji13]
 
Na tutaendelea kuwachoma moto mpka akili ziwakae sawa.haiwezekani umuumize mke wako makusudi namna hiyo.mke wako angekufanyia hivyo na houseboy ungejisikiaje?😡😡😡😡😡

Sasa mwanaume kama wewe nakukuta na housegirl unafikiri niataacha kukukokea moto...pumbavu kabisa nakutia kibiriti uwe chakula cha moto😡😡😡😡
 
Acha makasiriko tulia dawa iingie taratibu
 
Trust me unaenda kuweka ndoa yako ICU very soon! Anza kuivalisha barakoa tu hio ndoa!
 
Mwambie mkeo ampeleke Hospital.


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Dah Jombaa unasimulia mechi kama Baraka Mpenja wa Azam tv[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mwambie atumie jiki n maji ya betri ya baridi
 
MH. Balozi ulituwakilisha vyema uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…