Naweza kula tunda kimasiraha ?
Upo nyuma mno. Hata haujafika kwa jamaa aliyekula Mtawa? Wapo wawili wamekula watawa
Kaza vidole uendane na kasi ya uzi.
Jamaa nimecheka daaah kweli atakuwa nyuma ya mdaUpo nyuma mno. Hata haujafika kwa jamaa aliyekula Mtawa? Wapo wawili wamekula watawa
Kaza vidole uendane na kasi ya uzi.
Tena kila mda unakuta anapita kuchungulia kama kuna post ndefu ndo anajikunja kusomaAache roho mbaya wanauponda halafu utakuta wanausoma
Ungekaa kimya siyo lazima tuelewe nadhiri zako,Leo nimeweka nadhiri kwa Mungu wangu kuwa sitoufungua tena huo uzi kamwe
Mkuu kama komenti zangu zinakukera tupia ignore list. Eti ningekaa kimya, wewe unanipangia mimi cha kuandika humu? Nimesema hapa ila hata siku shetani akitaka kunirubuni nione aibu maana wenye kumbukumbu watanisutaUngekaa kimya siyo lazima tuelewe nadhiri zako,
Kuna mmoja amekuja na ID mpya kafungua uzi wa umeme, huyu ndo amepoza uzi wetu pendwa,Wanangu msiogopeee...hapa ni kula tunda tu!! Naona pepo la ngoma leo limekimbizaa shuhudaa...[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani binamu hujawahi kula tunda kimasihara? Au wewe Mara zote hua umedhamiria?Leo nimeweka nadhiri kwa Mungu wangu kuwa sitoufungua tena huo uzi kamwe
Tujaribu mkuu
ahahahaaa, wapo kimya wala tunda kimasihara, si unajua kula tunda kimasihara zana huwa inasahaulika kabisa maana ni dharula unakuwa hujajipangaWanangu msiogopeee...hapa ni kula tunda tu!! Naona pepo la ngoma leo limekimbizaa shuhudaa...[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa madini aya bado kuna boya linalilia dem maana win win yko ni loose kwa nwingine
Kesho nakuja na yangu[emoji16]bila shaka huu uzi utakuwa wa-pili kugonga replies 1M
Ni kweli tumefungwa mkuu ila vijana wetu wadogo wameonesha kandanda safi kuliko wale wazee wetu.Pole mkuu na leo pia mmefungwa tena
Pole mkuu na leo pia mmefungwa tena
Sijawahi binafsiKwani binamu hujawahi kula tunda kimasihara? Au wewe Mara zote hua umedhamiria?
Ahaaa jaman wakat na mm nilitaka niende nikaweke story yangu kwahyo hutaisoma Dogo?Leo nimeweka nadhiri kwa Mungu wangu kuwa sitoufungua tena huo uzi kamwe
Nitumie PM [emoji56]Ahaaa jaman wakat na mm nilitaka niende nikaweke story yangu kwahyo hutaisoma Dogo?