Kumbuka hakuna beki tatu mgumba
 
priscilla njoo humu, ukawasalimu
Unaye mwita huyo stori yake yaonesha beki hazikabi anamsingizia mwal. ndo kampa gonjwa.

we angalia na hali yake ya ugonjwa ila bado anawapa wana (tena sio 1, 2-3 ivi) asa akati mzima si alikuwa anateleza tu.

kama ingekuwa ilo gonjwa linapatikana kizembe ivo, wote tungekuwa nalo.
 
Vikwazo ulivyomwekea ni kama Marekani na nchi za kiafrika😂😂😂
 
Eeh jamani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…