yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
ni sawa ila mahala hapa sio salama sana kwa hiki ulicho kiandika, ushauri wangu ungepeleka huu ujumbe wako ktk jukwaa husika naamini ingependeza sana.. arafu nikukumbushe tu kuwa mchuma janga hula na wa kwao kwa hiyo hauna haja ya kujisumbua kiasi hiki...
AMA MNASEMAJE WADAU[emoji41][emoji41][emoji41]
Pole sana!hakuna tatizo kichwa tu nimemeza panadol
Naomba kujuzwa bei ya hiyo spray na mahali sahihi ambako inapatikana/kuuzwa maana naamini kesho nitakuwa na mechi ya mtu kuliwa kimasihara sihara tu[emoji16][emoji16]Stori inaendelea ila nifundisho kwa vijana wanakula tunda kimasihara.
Huyu mtoto mkali porini nilimsugua kavu kavu nikiamini mtoto mkali yuko na afya njema.
Tulivyorudi chuo ijapokuwa tuliwekeana kiapo hakuna mazoea, nikasikia tetesi demu anaishi kwa kutumia dawa. Aisee nilipata mawazo sana hii ngoma itakuwa HIV, nikamwambia mshikaji wangu embu muulize demu wako rafiki yake yule kuna dawa anazitumia?
Jibu likaja ndio anatumia dawa mara kwa mara. Kwa kweli nilimchukia sana wala sikutaka kwenda kupima HIV, nikajisemea kipimo kitakuwa nikianza kuumwa.
Nikamaliza chuo, baada ya mwaka nikajiunga chuo kingine. Nikapata demu mkali akawa demu wangu wa kudumu tukaanza penzi kavu kavu kichwani najua ninalo tatizo.
Nikawa napiga michepuko kwa kwenda mbele bila kujali. Siku 1 likizo nikaumwa, bahati mbaya au nzuri nikaenda dispensary ya rafiki yake na mshua.
Dr ukanichukua vipimo vya damu, mkojo na choo. Nikarudi zangu home. Kesho nikaenda kuchukua vipimo.
Yule dr rafiki yake na mzee akaniita ofisini kwake akaanza kusema nimekupima vipimo vyote mpaka HIV, alivyotamka HIV nilisikia kizunguzungu, nikaona giza, niliishiwa na nguvu.
Akaangalia vipimo akavuta pumzi, Nikasikia HONGERA SANA KWA KUJITUNZA USICHEZE HUKO CHUONI.
Nilitamani nimkumbatie dr. Hakuna siku nilifurahi maishani kama siku hiyo kufahamu afya yangu. Nikajiuliza yule mtoto mkali alikuwa anatumia madawa gani kila siku.
Nikajilaumu jinsi nilivyokuwa nakamua mademu ovyo nikidhania niko positive.
Nilifika nyumbani nikamtext yule mtoto mkali facebook nikampa salaam. Nikamwambia nimekumic sana. Akafurahi.
yaaniHuu uzi una vishawishi sana.
SawaUmenena vyema mkuu
Uzi upi nipe jina niutafute.Hahahahahahah ule Uzi huwezi kuukwepa
Yawezekana uka the best thread 2019
Uzi si umeunganishwa
DuhNa Mimi ngoja nitoe story yangu...
Miaka ya nyuma kabla sijaoa nikiwa mtumishi wa Benki moja maarufu katika wilaya moja. Kulikuwa na Mama mmoja wa makamo Afisa Elimu Msingi tulikuwa tumezoeana kiaina. Kipindi mwenge wa Uhuru unakaribia kuja katika hiyo wilaya kuna majengo ya shule moja ya Msingi yalikuwa yanakuja kuzinduliwa na mradi wa mwenge. Hiyo siku tupo kwenye kikao cha maandalizi ya mwenge kwenye ofisi ya Mkuu wa wilaya kikao kimeisha saa 12 na nusu jioni. Yule Mama akanifuata akaniomba nimsindikize kwenye hiyo shule ambayo madarasa yake yanazinduliwa na mwenge anataka akafanye surprise check kama mabati yameshapelekwa, alikuwa hataki kutumia gari ya ofisi na kipindi hicho nilikuwa na gari Toyota Kluger. Basi nikamwambia hamna shida ngoja niende home mara moja then nimpitie kwake twende. Nikaenda nyumbani mara moja nikarudi kumpitia kwenda huko, hiyo shule ilikuwa pembeni ya mji kidogo. Basi tumefika kule kigiza kimeingia, tukakuta kweli mabati yapo. Mama akaniambia tugeuze turudi, basi nikageuza gari ili kurudi ghafla nikajikuta nimepark Kwanza, tukaangaliana kama dakika 1. Nikamshika bega mama nikaanza kumpapasa nikapeleka mdomo kumuomba kiss karespond, tukakiss kama dk.2 then nikawasha gari tukaondoka. Kufika mbele kwenye kigiza njia imetulia, nikasimamisha tena gari nikalaza siti piga Sana romance mama nikampandisha gauni nikamvua chupi nikapiga show. Yule Mama alikuwa na K nzuri Sana msafi balaa. Baada ya hapo tukaendelea na Mahusiano mpaka nilipohama ile wilaya. Kila wikiendi nilikuwa na uhakika wa kupiga show Kwa mama. Yule Mama alikuwa na watoto wawili na alikuwa ametengana na mumewe. Mama alikuwa mtamu Sana Yule, nilikuwa sichoki kusex naye
Hiyo comment nilipost kwenye Uzi wa jamaa anaeuponda huu uzi Cha ajabu nimeikuta humu ndaniUzi upi nipe jina niutafute.
Acha kutujazia nyuzi ka mapicha picha ya google..Hautuhitaji ufutwe ila tunasema ukweli kwamba mnalitafuta jeneza kwa udi na uvumba
View attachment 1276814View attachment 1276815
balaa zitooo...Nimevutika nami kutoa stori yangu.
Mwaka 2014 nilichaguliwa kuanza mwaka wa kwanza chuo fulani hapa jijini Dar-es-salaam.
Kwenye harakati za kupata smartphone na kuanza kuchat mitandaoni ndipo nkakutana na mdada ambaye ni mtu mzima na alizidi miaka takribani kumi na zaidi.
Mdada uyo tukiwa kwenye mtandao akajitambulisha jina lake na kwamba yeye ni mwalimu shule moja ipo mlandizi.
Kwahyo kila siku tukawa tunasalimiana na mimi nilimpa heshima zote kwani alikuwa amenizidi sana na yeye alipendezwa na heshima yangu.
Siku ya alhamisi akaniambia jmosi uje unisalimie nyumbani kwangu uku mlandizi...nikasema sawa ntakuja.
Jmosi nkapanda gari hadi mlandiz na kufika stendi zen nkampigia simu akaniambia kuna Bar hapo karibu ukae kidgo unisubirie nakuja kwani nilienda shule kuwapa watoto masomo ya ziada.
Baada ya nusu saa akaja kiukweli alikuwa mtu mzima kiasi sema ni mzuri, ana kishepu chenye mvuto, rangi yake ni nyeupe nyeupe fulani na alikuwa na macho mazuri.
Aliponiona akaja kwenye meza ile uku akiona aibu baada ya kuniona xo akawa anacheka cheka tu uku anaangalia chini.
Tukachukua Boda hadi kwake na akanikaribisha ndani. Tukawa tumeketi sebuleni tukapiga story sana...na kipindi hicho nilikuwa na ukame hatari.
Kwakuwa tulikuwa tumekaa sofa moja nkawa naongea uku namshika mikono mara na yeye akaweka mkono kwenye paja langu ambalo nilivaa suruali.
Hamu ikapanda kichizi nkashindwa kujizuia nkamshika maziwa nkaona hajazuia, nilianza kuyabinya maziwa hatari nkaona anaishiwa nguvu ndipo nikamvua brauzi ya juu.
Alikuwa na maziwa meupe na makubwa kiasi pia ni malaini hatari...nkawa nayabinya binya uku nayazungusha kwenye mielekeo tofauti.
Alikuwa amevaa sketi ndipo nkaanza kuichojoa, nikakutana amevaa taiti nayo nkaichojoa, nkakutana na chupi nayo nkaichojoa.
Baada ya kuvua zote hzo nkakutana na kitumbua, kiukwel alikuwa na kitumbua kinene, kilishalowa ute ute, nkaanza kupeleka vidole pole pole uku nkichezea kisimi mpaka akawa anapiga kelele.
Nilimchezea sana ndipo na yeye akanza shika mashine maana hisia zilikuwa zinamzidi na anataka dushelee.
Bahati nzuri nilikuwa natembea na condom kwenye wallet yangu so nikatoa moja ya rough rider nikavaa...zen nkaangiza mashine akiwa amelala kwnye coach nkaona ameachama mdomo baada ya dude kuingia kwnye ikulu yake.
Nkaanza kumplekea mambo, akawa anatoa sauti sana ikabidi niongeze sauti ya redio iliyokuwa pembeni..nilimpelekea mambo mpaka akawa anasema twende chumbani twende chumbani maana aliona ule moto na sauti anayotoa sebuleni majirani watajua anakamuliwa na mtoto aliyeingia naye.
Ila sikumsikiliza khsu kwenda chumbani nikaendelea kumpelekea moto na akaanza kukojoa na bado nkaendelea kusukuma mashine.
Baada ya muda na mm wazungu hao. Nikaenda bafuni nkajisafisha na yy akaenda tukawa tumerudi tumekaa.
Akasema yaan ww mtoto mdogo una dude kubwa hadi unaliza watu wazima nkawa nacheka akasema leo usiondoke tulale hapa hapa hadi kesho. Nikakubali niondoke kesho, hicho kilichoendelea usku na kesho yake asubhi ni balaa.
Tatizo sio wake, tatizo ni kwamba mnayakimbilia magonjwa ya kisonono and the likes ..poleni..mnaona kula wake za watu ni sifa View attachment 1276807