Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
kwa kesi hiyo push facyor ni mwanaume ila kesi hiizo ni nadra sana mara nyingi ibaakuwa kinyumeMnatusingizia ujue...sasa kama mwanaume unavutia na mimi nakutamani push factor ni nani kati yangu na wewe?
Fake wig
tehe tehe tehe unfortunately situmii
Ah...zile ni nywele zako?
Na kwny duka la wig pale ulifuata nn?
mmhhhh
Hakunaga bahati mbaya
No saivi situmii ID ya fudenge nishabadilisha ma ID now naitwa harddrive...ni inbox bas frequency aka fone no nikuendee hewani ckujua kama ulinitaman for longty am sory for delaying.
Sio wewe bwana
Ndo mwenyewe niprivate sms uone ka sio mimi
Nianze wewe bwana, ndo utaratibu
mpaka mmefanya bado unasema bahati mbaya huu umalaya siyo mtakuja kulala na majini bila kujua unaamka asubuhi unakutana na mwanaume mwenzako wakati mlipokutana alikuwa mwanamke michepuko siyo dili baki njia kuu kwa mtazamo wangu
bahati mbaya ndo aje? Kubaka au unashtukia kizazi kimeungana na cha mwingine bila wewe kuwa na taarifa?
Dah, si kiingereza si Kiswahili yote tabu tupu! Bora nimwite faiza foxy ama Baba V wanisaidie!Unakumbushaa matukio hatari sana nshawahi toka class na kwenda kumla class mate tulikuwa kwa Lab twajifunza kuchuna opitc Fiber mtoto haelewi nikishika tools anataka nae ashike mara alegeze vifungo vya blauzi yake
Mfereji wa maziwa uleee unaonekana
Mtu mzima nkamtel unanipa nyege nikikuomba utanipa mama???? kiutan utani
Akajibu niombee tu
Bila kuvunga nkamtel twende tusepe pindi tusha sign. Kwa poz akasema tanguliaaa nakufata
Natoka mtu nae ana vua gloves tukaenda hadi room then i give my magic stick...
Mengine ni gal mwngne anaombwa kufundshwa nyt classes mara ouh baridi me nkumbatie mara ouh u look strong nikimtawanya classes za block flan hiv kuanzia saa nne hukuti watu...
Imewah hapen kama 5 hv kwa diffrnt watu bt ni tamu sana huh
We ni Mkenya? Kwa sababu Kiswahili ni cha Kikenya ila Kiingereza nimeshindwa kuelewa ni cha wapi! Ubuyu nauza hata sasa hivi!!Ushauza ubuyu lakini
We ni Mkenya? Kwa sababu Kiswahili ni cha Kikenya ila Kiingereza nimeshindwa kuelewa ni cha wapi! Ubuyu nauza hata sasa hivi!!
Sawa, mpaka hapo nimekuelewa kwamba umesomea Tahidi high school!Unataka huwaleti uhamiaja ama? English ya std 2 B