Hahhahaha...Dadeeeki...hujawasahau wazee wa mwandiko?[emoji23]

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Yani nlijua wamefuta huu utam
 
Yani umeniwahi ffuck off mods mnataka demokrasia alafu mnatulerea udikteta tunataka uzi huu uludishwe kma ulivyo mi siogopi ban mkitaka pigen ban ila ntasimama
Hivi ile tuzo ya Mello ilikuwa ya nini?

Nashauri Magufuli aipige ban hii jf, ndio akili zitawakaa Sawa!
Kumbe wanalilia kitu ambacho wao wenyewe hawakitekelezi? Pumbavu kabisa.
 
Uzi unaenda mwendo mlevi hatua mbele mbili nane nyuma.It's boring!!
 
Tushushie nondo mzee baba Uzi usonge mbele
 
Hawapendi tule matunda kimasihara kwan na nyie mmekatazwa wakuu
More than Boring mkuu..!! Ndo maana nimesema bora uzi waufutee mbona Ccm wamepita bila kupingwa hawakuwa wanafiki ubabe ubabe tu... Max mello kujidai analilia democracy na uhuru wa mawazo kumbe wale wale..
 
Kosa la kwanza umesema jina unaweka kapuni ila ukamtaja[emoji117][emoji117] "kuna demu mmoja hivi wakichaga jina kapuni"[emoji777]

Kosa jingine ni hili hapa[emoji117][emoji117] "ubwaubwa uko jikoni kafunikia kidume nikafatwa kitandani"[emoji777]

Swali langu ni je, uliwezaje kupakuliwa chakula baada ya show ili hali ulidai kuwa dem aliacha chakula jikoni, na hamkuweza achana mpaka saa6 usiku ndio mkala..kwa hiyo mlilishana kunguni??

[emoji117]NAOMBA UFAFANUZI JUU YA HAYA ILI NIWEZE KUELEWA ZAIDI.
 
Mods huu uzi mlitakiwa muuweke sticky threads ila badala yake mnazidi kuupunguza kwa kufuta post za watu..
anyway nimevutiwa na mimi kushare experience yangu ilikuwa miaka kadhaa nyuma nipo likizo na ndo nimepokea habari mbaya za demu wangu kumegwa na jamaa mmoja siyo siri yale maumivu sijawahi kuyaexperience toka nimekuwa na akili zangu nilikuwa kama zombie akili haifanyi kazi
basi nikawa najitahidi kupoteza mawazo kwa kujichanganya kidogo na kwenda mazoezini kucheza soccer na washkaji ili kurudisha ile spark kidogo ndani yangu
hiyo siku ya kubahatika nilitoka kama kawaida jioni niende mazoezini wakati nimetoka tu hom nikakutana na mtoto mmoja alikuwa ni beki3 ila uzuri wake ulizidi viwango nikampa tu hi nikapita zangu kama mnavyojua wanaume tukishapishana na chuma kikali lazima tugeuke nyuma kuona kama yaliyomo yamo
akili ikaniambia hivi mtoto kama huyu unamuachaje hebu acha ufala.. kweli nikasema haiwezekani labda anikatae mwenyewe nilikuwa nishafika umbali kama wa hatua30 hivi nikageuza nikarudi kumsubiri arudi mtoto akatokea nikamsimamisha stori za hapa na pale nikamuomba namba akanipa nikasepa zangu tizi
huku mawazo yote yapo kwa ile chuma
nimerudi nikaanza kuchat naye wala sikumtongoza nikamuuliza hv kwenu unakaa na nani akanambia anakaa na dada ake tu aliyemuajiri na kwa ssaiv kasafiri kwahiyo yupo peke yake
nikamwambia basi nakuja hapo nje kwenu
walau nikuone akasema pw mzee nikajikoki nikatoka kufika nje nikamtext akatoka mtoto shepu ya maana mtaani vidume walishaanza mmezea mate story za hapa na pale nikamwambia mbona unasimama mbali hvo unaniogopa sogea kidogo basi kweli mtoto kasogea bila kichelewesha nikamvuta shika kiuno mtoto katulia chezea chuchu mtoto anarembua tu pandisha sketi mtoto hana upinzani nikasema hapa leo nataka niweke situation sawa zamisha mkono kwenye chupi mtoto ndo kwanza anainua mguu niingize vizuri ikumbukwe hapo ni nje kwao getini na ni mida ya saa3
usiku
mara simu ikaitwa naitwa hom mara1 nikamuacha mtoto nikamwambia ntarudi kesho kuimalizia kazi
akasema pw kishingo upande maana nilishaanza kumuweka sawa kwa mashambulizi
kesho yake sasa kama kawaida baada ya kutoka tizi nikaoga fresh nikamtxt mtoto nakuja akanambia nakusubiri wewe tu kusikia hvo *boo ikasimama balaa natembea njiani ukuni umesimama hatari mikono ipo mfukoni nimefika mtoto kazima taa zote kanambia ingia nikachoma ndani kama baba mwenye nyumba vile
tumefika room mtoto kajilaza nikaanza mchezea mtoto kalainika chezea sana mtoto anaskilizia utamu tu sijawahi kuenjoy mapenzi kama niliyopata kwa yule mtoto.. kwanza msafi, pili alikuwa hajui chochote so nilifanya nnavyotaka, tatu alikuwa na figa matata kuanzia hips hadi chuchu yaani kifupi niliokota nazi kwenye mpapai
basi chezea sana mtoto anatia huruma nikachojoa namimi nikamuweka sawa peleka mashine naona mtoto anatikisika tu wallah nilipagawa hapo mawazo ya kuchapiwa yakapotea kabisa peleka sana moto mtoto ananikumbatia tu mara wazungu hao nikamwagia nje nikamfuta vizuri story kidogo nikasepa maana mazingira hayakuwa rafiki
basi ikawa ndo mchezo kila siku ni kumpelekea moto mtoto wa watu hadi likizo ilipofika
karibu na mwisho
niseme wazi tu nilikuwa naenjoy sana mapenzi na yule mtoto ila sikuwa na mpango wa kuwa naye kwenye mahusiano yeye ndo alikuwa amekolea balaa haipiti siku bila kuonana na mimi siku namwambia nakaribia kuondoka ilikuwa kama msiba kwake nikamwambia usijali mpnz nikirudi tutaendelea
basi siku ya kurudi chuo ikawadia nikamuaga nikarudi zangu chuo kwenda kukutana na yule kiumbe aliyeninyima usingizi kiukweli bado maluwe luwe ya kutendwa yalikuwa hayajanitoka kabisa kichwani nikawa namuavoid sana yule mwanamke
baada ya juhudi za muda mrefu za kumkwepa siku moja tukakutana tu katika mazingira flani ndipo nilipojua nilikuwa bado napenda nilipomuona alikuwa hayuko sawa kabisa anatia huruma kumbe wameshamchezea na kumuacha huruma ikaniingia nikajikuta nambembeleza na ndo ukawa mwanzo wa kurudiana naye huku nako yule mtoto niliyemuacha nyumbani anasumbua kila siku nikawaza nikaona sina future naye na siwezi shika viwili kwa wakati mmoja nikaamua tu kumblock na kufuta namba kabisa ili niendelee na huyu demu wangu wa chuo tendo ambalo najua lilimuumiza sana kwa jinsi alivyokuwa analia kila siku sababu tu nipo mbali naye tendo la kumblock ndo lingemmaliza kabisa
kweli mkataa pema pabaya panamuita yaliyokuja kunikuta kwa huyu msichana wangu wa chuo nilijilaumu kwann nilimpa tena nafasi
popote ulipo Nasma nisamehe sana kwa kukukatili nilikuacha na uzuri wako wote ili nipiganie penzi linalogombewa na wengi... sijawahi pata mapenzi kama niliyopata kwako ila maisha inabidi yaendelee natumai ulipata furaha yako ya moyo tena hope to see u again sometime in the future..
mods naomba hii post msiifute hadi Nasma atakapoisoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…