Aiseee

Huyu ndo baharia wengine wanaigiza
 
Watu wengine mnachekesha ina maana hapo ulipo hujui wali unapikwaje? Nafikiri ulikuwa umeshaiva so ulikuwa umepapaliwa.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]baba omary
 
Nikajua ni kimasihara nyingine [emoji28]
 
Hilo limenishangaza pia.
Labda wameona uzi umepata wapenzi kuliko mambo yao ya kisiasa.
Watuache sisi na maisha yetu halisi na wao wabaki na maisha ya kufikirika na siasa zao.
Wanaharakati na wanasiasa huwa wanaona maisha ni siasa na harakati tu.
 
Hilo limenishangaza pia.
Labda wameona uzi umepata wapenzi kuliko mambo yao ya kisiasa.
Watuache sisi na maisha yetu halisi na wao wabaki na maisha ya kufikirika na siasa zao.
Wanaharakati na wanasiasa huwa wanaona maisha ni siasa na harakati tu.
 

daaah
 
Watu waongo kama nyie ndio manafanya comments za huu uzi kufutwa...
Watu waongo kama nyie ndio manafanya comments za huu uzi kufutwa...

daah watu bwana kuna kitu gani cha kudanganya hapo mi nimekula tunda na wala sijutii hilo tukio na sitoweza kulisahau

ndo maana sijaogopa nimeweka na jina la huyo mzee atakayepita atawafahamu wahusika kama anawajua ila hawezi nifahamu Mimi au unataka nikutajie mpaka location
 
Duh aiseee alafu kuna watu wanataka eti huu uzi ufute
 
Eti kuna watu wanataka nahii coment ifutwe
 
Nashauri ukafunguliwe uzi mwengine na wao akina dada wajimwage uandikwe “ulishawahi kuliwa Tunda kimasihara?
 
Jembe mwishoni umeandika kwa hisia sana [emoji23][emoji111], Nasma shwaiiin sana
 
Mtoto wa kiume unashobokea nyuzi za mabaharia shauri yako tutakukula kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…