Huyo Liz mrembo ni wa mwanza? Amesoma makumira 2015-2018? Kama ndio huyo tutakua tumeshea mkuu
rikiboy ,.. Hongera Mkuu uzi umefikia lengo somo limesomeka kwa mabaharia.Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
Wanawake wanapigika kirahisi sana na Mabaharia hadi huruma aiseeHuu uzi kila nikiusoma naishia kwenye contacts za simu yangu kuona nani wa karibu aje kutoa msaada.
Comments zinasogea tu. Kikitoka kitu kinaingia kitu.
Sipendi kuusoma huu uzi nikiwa kwenye mishe mishe zangu za kutafuta riziki, maana unaweza kujikuta unaahirisha mengi.
Sure mkuuComent za huyu jamaa ilitakiwa ziwekwe sehemu moja kwa mpangilio ya kwanza na kuendelea kama series vile.
Watu wamechafukwa[emoji38][emoji38][emoji38]Tumeshayakataa haya matakataka yenu kwenye huu Uzi. Tuachien Uzi wetu mbona hamuelewi?
Peleka jukwaa la afya au peleka kijijini kwenu kawaelimishe ndugu zako ambao hawaelewi maana ya ukimwi.
yaaniNamkubali sana hata mimi huyu baharia juma p maharage yan anashusha nondo kiasi kwamba huachi kusoma. Halaf mods wanaingilia Uzi kama huu unaotupunguzia stress baada ya harakati za kusaka mkate.
Aiseee wauache tu huu Uzi wao hawajui tu kuwa wengine furaha yetu iko huku, wengine hatujui siasa
hahahahaShukrani kwa kumquote
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23]Mods wanasababisha sijui wapi nimeishia, Wananikosesha Amani ya moyoo na Matatizo ya Kisaikolojia nikosa huu uzi
[emoji3][emoji3][emoji3] hohehae tenaa ? ? Sawaa babu Ngoja nikuache tu sababu hunifahamu mkitajirikaga uzeeni mnakuwa na wenge sana
Basi tuachie Uzi wetu sisi maskini na huo ukimwi wetu unaodai acha kutushobokea nenda kwenye Uzi wa hadhi yako ukiwepo humu we ni boya tu vilevile maana upo na sisi kijiweni
Tulikwambia tunataka ushauri nasaha kwani [emoji3]
mbona yupo!Humu sijaona hata mtu mmoja including myself aliyesema amekula tunda kimasibara alafu akaoa kabisa, wote wameishia kusifia tu!
Kama ipo nitag hiyo stori.
Mkuu naona unaanza kuvuka mipaka..... Toka mwanzo tunakufatilia ila hatukujibu usidhani coment zako hatuzioni ila tunakudharau tuuuu. Sisi wala matunda kimasihara tukienda jehanamu nawewe shoga mda huo utakuwa wapiMmelaaniwa mnafanya ngono zembe hata na mama zenu waliowazaa...moto wa jehanamu unawasubiri mbwa nyinyi
Nilishawahi kukuomba pesa ya bundle?Dogo fukara nenda kalale
Hahahahahaaa....jamaaa na calls zake mia nane lakini demu kaliwa kimasiharaaaaKuna manzi nishawah mla kwenye msingi wa nyumba kimasihara na bi mdashi mmoja nimekaa nae sebuleni kwake ananihadithia story za mabwana zake,nikaona analeta masihara dakika chache mbele nikapita nae Kama kipanga.
Hizo stori nitazileta, Anza na hii ya mabaharia wazembe.
Ilikuwa October 2016 tumeripoti kazini me wawili na ke wawili, tukawa tunaishi nyumba ya ofisi. Kila demu anajisifu na mabwana zao waliowaacha walipotoka, baharia nimetulia nawasoma tu.
Mazoea yakaanza taratibu na kazi za ofisi zinaendelea. Manzi mmoja alikuwa mkali hatari na mwingine wa kawaida,Basi Kila raia Hadi mabosi wakawa wanammendea Yule manzi namimi hapo namlia timing.
Mawasiliano na jamaa wake wa kitaa yalikuwa moto moto, jamaa mda wote msg na call kumjulia Hali na anachofanya akijua bado anamlinda.
Ilikuwa ijumaa mida ya saa kumi na moja tupo kitaa,Mara pa Yule manzi wa kawaida akatoa wazo twende bar maana mchana alizinguliwa na bosi kutokana na uzembe wa kazi ili kupunguza stress.
Kuingia bar Yule manzi mkali akaagiza safar na mwenzake Serengeti lite, baharia nikasema lete vant,Basi mdogo mdogo burudani inazama kichwani. Mida ikayoyoma kaa saa mbili Yule manzi mkali simu zikawa nyingi anapigiwa na baharia wake wa kitaa so akitoka nje ataongea hata saa Zima then anarudi.
Kufika ngoma nne,baharia vant imetitima kichwani, manzi nae simu haziishi nikamfuata na kumwambia vipi mbona hutulii, akaanza stor za pombe kwamba jamaa yangu msumbufu anapiga simu masaa yote,ana wivu, alishawahi kunipiga and he don't behave like gentleman. Nikambembeleza akaacha kulia akarudi kwenye gambe Kama kawa.
Mida ya saa 6 na ushee tukaanza sogea nyumba tunayoishi ya ofisi, Yule manzi wa kawaida kashalemewa na serengeti, na Yule mkali Safari zimemkolea kisela.
Kufika ofisini jamaa aliyebaki alikuwa ustadh, akafungua mlango akapotea kulala,Yule mwingine nae pombe zimemzidi akawahi kwenda kulala.
Yule manzi mkali alipotaka kuingia ndani nikamvuta nje,nikachukua funguo nikafunga kwa nje hapo ujasiri wa k vant upo wa kutosha sijali kitu. Tukawa tumekaa kwenye bench nje nikaanza kumshika shika, Mara demu anachomoa mjusi kafiri kwenye suruali ananyonya, taratibu nikamvua nguo nikamtomb..ea palepale kwenye bench na kuanzia hapo nikaendelea kumla mpaka nikaondoka Hilo eneo la kazi.