Usitapike tu dogo, tapika ukiwa na hela , sio unatapika huna hela mnasifu ngono zembe na hapo unakuta tangu asubuhi hadi saivi uko kwenye social network huku mfukoni hata milioni 20 huna
Mil.20 mfukoni..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

inakuwa ni mifuko ama mabehewa!!
..
Kweli naiona nguvu ya maskini kujifanya tajiri gafla![emoji119][emoji119][emoji119]
 
Achana na huyo nshomile waitu.Naileta moja hiyo nikiwa field Mkoa Fulani huko.
Mil.20 mfukoni..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

inakuwa ni mifuko ama mabehewa!!
..
Kweli naiona nguvu ya maskini kujifanya tajiri gafla![emoji119][emoji119][emoji119]
 
Haha ha ha hapo baharia alikuwa analipa st Anna zake mbili ha ha
 
Ha ha ha
 
Hi sio chai Bali ni uji kabisa au mtori
 
Tuliendaga semina fulani mkoa wa Mbeya wilaya moja inaitwa KYELA wakati huo ni msimu wa mvua a.k.a masika kwenye safari ile kutoka Dar nilikuja na mtumishi mwenzangu mweupe demu mkali ila MKE wa mtu, baada ya semina tulienda kuchukua vyumba viwili tofauti kwenye lodge fulani hivi classic sasa tulipotoka kula chakula cha jioni tukanunua dompo yetu tukaanza kuipiga Hatukutaka kunywa sana hivyo tulishare ile chupa moja coz semina ilikuwa ni kama week nzima tuliogopa ku exhaust.
Tuliamua tukalale mida kama saa 3 hivi kila mtu aliingia kwenye chumba chake aisee wakati wa mvua imeanza kukolea kulianza ma flash light na ngurumo za radi utafikili tupo uwanja wa vita,Wanaopajua Kyela kuna radi za kibabe vibaya mno kumbe mwenzangu huko chumbani kwake ana jamba jamba kuogopa yale ma radi baada ya muda nashangaa mlango unagongwa mida hiyo mimi nilikuwa napiga push up kwa sababu nilikuwa mtu wa mazoezi ili nikaoge , ile nafungua nashanga kanikimbilia na kuja kunikumbatia na kuning'ang'ania eti anajificha radi zisimuue tehe tehe tehe ikabidi nimuombe alale nioge nije tujifiche wote nashangaa mwenzangu akanigomea kazidi kuning'ang'ania,ilibidi nipande nae kitandani mtoto kanasa kwenye kifua.
Radi huanza na mwanga then unafuata muungurumo aisee ilikuwa ikipiga mwanga ndo anazidi kunikumbatia huku analia kwa kudeka mimi hapo nikawa najifanya namficha ili radi itue kwenye mwili wangu ili yeye asife so nife mimi aisee kamchezo kaliendelea mpaka pale akili ya radi ikaisha dushelele likawa limesimama vibaya mno likaanza kumpush,alikosea kwenda kulishika ili aliweke sawa lisimpush nikajua kalielewa na mimi nikafuata kisimi chake kulipiza kitendo cha yeye kunishika dushelele langu.
Tulijikuta tunashikana nyeti habari za radi tukamuachia alieziumba yaani Mungu sisi tukaendelea na mishe zetu mpaka nikala kichuri.Tangu siku ile tukaacha kulipia vyumba viwili tukaamua tufanye bajeti week nzima ya semina ila bwana ake alikuwa na desturi ya kupiga around saa 5 usiku nauchubua kama sipo na yeye anatune sauti as if kachoka sana na semina hivyo ampe muda apumzike kumbe baada ya kuzima simu anarudi na sauti ya kawaida na tunaendelea na tabia yetu ya kulana kichuri kama mume na mke.
NB: NA MIMI NIMEOA MTUMISHI SASA AKISAFIRI KWENDA SAFARI ZA KIKAZI NAHISI NA YEYE ANALIWA KICHURI KAMA NILIVYOMLA DADA 'J' IN SHORT LILE TUKIO NILILIFANYA MIMI ILA LINANITISHA MKE WANGU AKISAFIRI KIKAZI.
 
nimekaa kyela sana..kuna radi za hatari ile wilaya
 
Billie umefanya nimtwangie mama watoto Kwa wivu.
 
[emoji1][emoji3][emoji1][emoji3],imechelewa sana,.
 
Umenichekesha sana mkuu
 
Wewe ni Mjaluo au mkurya ndio mnapenda Kula vichuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…