yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Ila we jamaa unawashwa kichizi yani, mbona una shobo sana na huu uzi? Kitulize basi tumeshakwambia humu hakuna wakunaji mbona huelewi?Tulia dogo, utasubiri sana, nishinde kwa hoja sio porojo
Muacheni patigoo bana..anachangamsha uzi. Yaani nacheka sana nikisoma comments zake
Aisee [emoji28] [emoji28]
Huku nilipo tulishaacha kusafirisha watumishi/wapendwa wa jinsia tofauti.
Muacheni patigoo bana..anachangamsha uzi. Yaani nacheka sana nikisoma comments zake
Tatizo unaamini kila mtu umemzidi kila mtu ni maskini pole sana [emoji3]Dogo utachangiaje na wakati wewe ushaamua kua mlevi na umeshaukubali umasikini..una mawazo yapi ya kupata labda hata milioni 50 ndani ya masaa 2 ...wewe sehemu yako pendwa ndio hii, ulevi, ngono zembe ..huku unaua maini, huku unaua seli hai nyeupe
Dogo unaruka ruka tu, kuazima simu ndio kufanyaje ...
Afadhali mkuu ngoja niende fasta
SI ulidanganya kua we la saba afu ukasahau?
Au hiii stori sio ya kwako
Mnajifunza jinsi ya kupiga game za fastaMnatufundisha nn wadogo zenu[emoji23]
Hapa ndio nimejua una akili.Unaendekeza mihemkoAsilimia zaidi ya 90 ya nyuzi zako ni za ngono, halafu huna hela ,
Wewe nadhani kule jehanamu una sehemu yako maalumu wewe na baadhi ya wenzio humu ambao wana fanya ngono na shangazi na mama wadogo zao halafu mlivyo mapimbi mnapeana pongezi...huo moto mtakaochomwa mtakua mnaumuka kama maandazi au vitumbua halafu shetani atakua amekaa pembeni anawacheka jinsi mnavyoumuka kama chapati View attachment 1280339
Aaah sio mbaya kumwagika mzee babaNataka nilete shuhuda zangu hapa ila tatizo id yangu ishachunguliwa na mchuchu
Na amenihakikishia anausomaga huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lako ni kudandiadandia, nikisema uoneshe niliposema bahati huwezi, nikisema uoneshe wap nimesema ni mama mzazi huwezi pia.Dogo aniita bahati kulala na mzazi wake mana mzazi sio lazima awe amekuzaa