Pumbafu kabisa, kwahio dogo una ji relate na wa kwenye Biblia , ? Una akili kweli dogo ? Yani unaifariji dhambi yako ya kulala na ndugu yako ?
Safi bahariaEdna popote ulipo nakusalimia.
Kijana mpole mshika dini safi, sina makando kando, naaminika kichizi, nikiwa nyoya (kidato cha kwanza), kama kawaida napiga buku tukiwa na Michael msela wangu mlokole safi asiye na ila maisha yanasonga bila gogoro.
Nikiwa shule ya msingi nilikuwa naupiga mwingi sana, baada ya kumaliza tukiwa tunasubiri matokeo, nikajikuta nakabiliwa na maumivu ya goti la kulia kila nikicheza, nikaona huu ni ufala, mpira bongo afu kijijini, wa kuja kuniona huku nani? Nijatundija daruga, ila mapenzi yangu kwenye soka hayakuisha.
Tunaingia 4m 1 naendeleza harakati ila kwa upande wa kamati mbali mbali za kimichezo, ikiwemo kuwa miongoni mwa wanakamati ya ushindi. Nikiri tu kuwa hapa ndo mara ya kwanza nauona mpira ukipigwa kwenye ungo, plus maluwe luwe kibao, hapa si mahara pake, nitayasimulia pahali husika.
Basi bana, siku ya siku tuna gemu na wanakijiji wa kijiji cha nne toka mahali shaule yetu ilipo, mida ya saa 7 fuso likatenga shule, majina ya wanao kwenda yakasomwa alwatan nimo, baada ya taratibu kukamilika, ngoma ikaamsha, haoo!!
Tumefika ukapigwa mwingi, shiringi ikasimama, matokeo tasa, aroundi saa 12 tunaza safari kurudi, sasa ishu ikawa tumekwenda wachache ila kumbe kuna wenzetu pia walilianzisha asubuhi kwa hiyo tukawakuta, time ya kurudi tukawa nao, gari ikawa na mzigo mzito, halafu ni usiku na ile njia ni ya vumbi na si rafiki.
Tumo kwenye gari, fujo nyingi, mida ya giza giza wana wakaanza kubambiana, sasa zile kelele hata kama mtu anapiga kelele serious watu wanachukulia masikhara tu, mie mgeni kwa hiyo sina mazoea kivile na watu wengi, watu wanasukumana ovyo tu hii hasa ilichangiwa na myumbo wa gari kwa sababu ya barabara.
Nikiwa ninatumia mkono mmoja kushsika bomba huku mkono mwingine ukiwa unailinda nokia 1100 yangu iliyokuwa mfukoni, ghafla nikashikwa ule mkono ulioko kwenye bomba kucheki alonishika ukizingatia na lile giza sikumtambua kabisa, ila akaanishtakia tu "huuyu hapa ananisumbua" nikageuka kumcheck jamaa alosontwa, akanigeuzia mgongo kwa hiyo sikujisumbua nae, sasa nikawa na vitu viwili vya kuangalia, kiemeo changu na huyu manzi.
Tumeendelea na safari ikafikia pahali huyu manzi akaachia ule mkono akaniambia nimshike maana kachoka, kwa kuwa sikua vizuri nikatafuta balance kwa kusogea pembeni kabisa nikaeg=meza mwili wote kwenye bodi ya gari wakati huo mazi tuko nae bampa to bampa, hspa nikapata fursa ya kumshika kwa mikoo yote miwili, baada kama ya dk 10 ile mitikisiko ya gari na mgusno wetu, mara mnara ukasoma, yeye alisimama akaniegemea kwa ubavu wake wa kushoto. Mnara uliposoma akaufeel nikaona kila mara @nainua uso kunitazama.
Tumeendelea na safari, tukafika kijijini wanafunzi wa njiani wakaanza kutelemka hiyo nika kama kwenye saa 21 kasoro, tumesongaaa, nikafika kituo changu ile nateremka, mazi nae akateremka, pamoja na watu wengine, pamoja na kuwa mnara ulikua unasoma ila baada ya kuteremka, wazo la kumpotezea lilitamalaki, sasa ile nimepiga hatua kama 5 hivi nikiwa namshikaji wangu Michael na wana kadhaa, nikashikwa mkono, kugeuka ni yule manzi, nikasimama akaniambia nimsindikize kwao, nikamuuliza ni wapi? Kanijibu madukani. Nikamwambia mbona huko mbali? Akaniambia, sasa kama hunisindikizi unataka nikalale wapi? Mara Michael akaniita, kumbe alisikia majibizano yetu, jamaa kaniambia wewe njoo nae getto sie tutalala kwa mwana yeye tutamuachia alale kwetu, Kulikua na jamaa etu mmoja sasa ni marehemu.
Tukajikokota mdogo mdogo hadi getto, fika tukaliungurumisha (tulikua tunapika wenyewe) tukala, baadae nikamuelekeza pa kulala, nikamtoa hofu maana mie nalala kwingine, manzi kagoma kulala mwenyewe, bembeleza manzi anadai tangu kuzaliwa hajawahi lala mwenyewe, baada ya Michael kuona sitokei ikabidi anifate, nikampa picha ilivyo, mwamba akanicheka kinoma mpaka nikajiona bwege, hapo ndo akili ikaja sasa. Kwa mara ya kwanza maishani kulala usiku mzima na manzi huku nikiwa najipigia na mahusiano kati ya nyoya na 4m 2 yakazaliwa rasmi.
Wana acheni kutumia muda mwingi kumjibu huyo mwamba hapo juu tufocus kwenye lengo la uzi.
Safi baharia
Edna popote ulipo nakusalimia.
Kijana mpole mshika dini safi, sina makando kando, naaminika kichizi, nikiwa nyoya (kidato cha kwanza), kama kawaida napiga buku tukiwa na Michael msela wangu mlokole safi asiye na ila maisha yanasonga bila gogoro.
Nikiwa shule ya msingi nilikuwa naupiga mwingi sana, baada ya kumaliza tukiwa tunasubiri matokeo, nikajikuta nakabiliwa na maumivu ya goti la kulia kila nikicheza, nikaona huu ni ufala, mpira bongo afu kijijini, wa kuja kuniona huku nani? Nijatundija daruga, ila mapenzi yangu kwenye soka hayakuisha.
Tunaingia 4m 1 naendeleza harakati ila kwa upande wa kamati mbali mbali za kimichezo, ikiwemo kuwa miongoni mwa wanakamati ya ushindi. Nikiri tu kuwa hapa ndo mara ya kwanza nauona mpira ukipigwa kwenye ungo, plus maluwe luwe kibao, hapa si mahara pake, nitayasimulia pahali husika.
Basi bana, siku ya siku tuna gemu na wanakijiji wa kijiji cha nne toka mahali shaule yetu ilipo, mida ya saa 7 fuso likatenga shule, majina ya wanao kwenda yakasomwa alwatan nimo, baada ya taratibu kukamilika, ngoma ikaamsha, haoo!!
Tumefika ukapigwa mwingi, shiringi ikasimama, matokeo tasa, aroundi saa 12 tunaza safari kurudi, sasa ishu ikawa tumekwenda wachache ila kumbe kuna wenzetu pia walilianzisha asubuhi kwa hiyo tukawakuta, time ya kurudi tukawa nao, gari ikawa na mzigo mzito, halafu ni usiku na ile njia ni ya vumbi na si rafiki.
Tumo kwenye gari, fujo nyingi, mida ya giza giza wana wakaanza kubambiana, sasa zile kelele hata kama mtu anapiga kelele serious watu wanachukulia masikhara tu, mie mgeni kwa hiyo sina mazoea kivile na watu wengi, watu wanasukumana ovyo tu hii hasa ilichangiwa na myumbo wa gari kwa sababu ya barabara.
Nikiwa ninatumia mkono mmoja kushsika bomba huku mkono mwingine ukiwa unailinda nokia 1100 yangu iliyokuwa mfukoni, ghafla nikashikwa ule mkono ulioko kwenye bomba kucheki alonishika ukizingatia na lile giza sikumtambua kabisa, ila akaanishtakia tu "huuyu hapa ananisumbua" nikageuka kumcheck jamaa alosontwa, akanigeuzia mgongo kwa hiyo sikujisumbua nae, sasa nikawa na vitu viwili vya kuangalia, kiemeo changu na huyu manzi.
Tumeendelea na safari ikafikia pahali huyu manzi akaachia ule mkono akaniambia nimshike maana kachoka, kwa kuwa sikua vizuri nikatafuta balance kwa kusogea pembeni kabisa nikaeg=meza mwili wote kwenye bodi ya gari wakati huo mazi tuko nae bampa to bampa, hspa nikapata fursa ya kumshika kwa mikoo yote miwili, baada kama ya dk 10 ile mitikisiko ya gari na mgusno wetu, mara mnara ukasoma, yeye alisimama akaniegemea kwa ubavu wake wa kushoto. Mnara uliposoma akaufeel nikaona kila mara @nainua uso kunitazama.
Tumeendelea na safari, tukafika kijijini wanafunzi wa njiani wakaanza kutelemka hiyo nika kama kwenye saa 21 kasoro, tumesongaaa, nikafika kituo changu ile nateremka, mazi nae akateremka, pamoja na watu wengine, pamoja na kuwa mnara ulikua unasoma ila baada ya kuteremka, wazo la kumpotezea lilitamalaki, sasa ile nimepiga hatua kama 5 hivi nikiwa namshikaji wangu Michael na wana kadhaa, nikashikwa mkono, kugeuka ni yule manzi, nikasimama akaniambia nimsindikize kwao, nikamuuliza ni wapi? Kanijibu madukani. Nikamwambia mbona huko mbali? Akaniambia, sasa kama hunisindikizi unataka nikalale wapi? Mara Michael akaniita, kumbe alisikia majibizano yetu, jamaa kaniambia wewe njoo nae getto sie tutalala kwa mwana yeye tutamuachia alale kwetu, Kulikua na jamaa etu mmoja sasa ni marehemu.
Tukajikokota mdogo mdogo hadi getto, fika tukaliungurumisha (tulikua tunapika wenyewe) tukala, baadae nikamuelekeza pa kulala, nikamtoa hofu maana mie nalala kwingine, manzi kagoma kulala mwenyewe, bembeleza manzi anadai tangu kuzaliwa hajawahi lala mwenyewe, baada ya Michael kuona sitokei ikabidi anifate, nikampa picha ilivyo, mwamba akanicheka kinoma mpaka nikajiona bwege, hapo ndo akili ikaja sasa. Kwa mara ya kwanza maishani kulala usiku mzima na manzi huku nikiwa najipigia na mahusiano kati ya nyoya na 4m 2 yakazaliwa rasmi.
Wana acheni kutumia muda mwingi kumjibu huyo mwamba hapo juu tufocus kwenye lengo la uzi.
Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
Mkuu naona una summarize na ku take note kwa kila tukio.Maana sio kwa refference hizo.Na boss mwenyewe ameliwa. Kuna baharia alimwambia tu boss wake kuwa ajiheshimu kwa maneno aliyokuwa anaropoka baada ya kulewa. Boss akabeba glass ya wine kumfata msela chumbani. Hatariiii
Mm nasoma tu majibizano yenu afu nacheka tu
Hamna aliyenipa mamlaka, nimejipa mwenyewe, na ndio ukweli, hayo maroho mnayoyabeba huko fools, unalala na mama mdogo wako na shangazi yako unategemea nini