Duuh naona wenye vitengo wamenijia jaman ebu tuweke stop maana muusika yupo hum na kanijia juu sana ebu tuache jaman tusubir story zingine kwa usalama wangu na mtot ambae wa kwetu woteee
Acha woga mkuuu hamna kitu kama hicho.
 
Huyo ni malaya tena huenda anajiuza usiku. Demu decent hawezi chomekwa tena siku ya kwanza tu.
 
'hata muda wa msosi haujafika wewe unaenda warsh room, au unaenda kupunguza ili upate nafasi kubwa ya kutia mzigo nini?"

Hii ni insult kwa mtu mwenye akili na wala sio utani/mzaha mzuri.
 
'hata muda wa msosi haujafika wewe unaenda warsh room, au unaenda kupunguza ili upate nafasi kubwa ya kutia mzigo nini?"

Hii ni insult kwa mtu mwenye akili na wala sio utani/mzaha mzuri.
Unless muwe hamjazoeana. Mtu uliyezoeana naye hilo siyo tusi

Na kwa walipofikia hiyo kauli isingehesabiwa tusi tena.
 
Hakika nimeamini kweli jf kila mtu ni rich , sipendi na nimechukizwa na unachokifanya plz plz nakupa dakika 15 za kuapologize sina haja ya kujibizana la sivyo nitakuja na ushahidi hapa wa sauti maandishi na picha. Sina haja ya kukutaja ila ndio ivo ujumbe umefika na sitaki pm yeyote.
Uzi umeyumba amani imepotea na faraja imejitenga nasi .
Sipendi bora ukubali na mmalize majibizano yenu.
 
Mwandiko mbaya jamani[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Jamaa mbona kaandika vizuri tu mzee.

Duuh naona wenye vitengo wamenijia jaman ebu tuweke stop maana muusika yupo hum na kanijia juu sana ebu tuache jaman tusubir story zingine kwa usalama wangu na mtot ambae wa kwetu woteee


Toka mwanzo nilihisi story zako ni chai nyingi,

Hili sasa limejidhihirisha uliposhindwa kumalizia hii story,

Sio kwamba umefuatwa na kitengo kama unavyodai,

NO,ila umeshindwa utatunga nini uimalizie

Anyway wahuni tuna-enjoy hata za kutunga.
 
Hapa ulikua unamuandikia nani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…