Watu wanachukulia serious kwenye kila detail ya story, wakati Uzi wenyewe ni wa kula kimasihara
Hyo 18 ilikuwa chumvi nawewe!!mbona hamtaki chai ikolee??we elewa stori afu ujue kutenganisha ngano na mashudu Michele na chuya ukiskia "nikamkojoza mara tatu mimi bao moja masaa3" ujue hizi ndimu kwny stori
 
2017 Vladimir zilikuwepo mkuu? mbona napata wasiwasi juu ya hii story yako?

[emoji117]me mwenyewe ni muuzaji wa hard drinks, lakini Vladimir vodka niemanza kuziona katikati ya mwaka huu..

Itakuwa anasema valuu labda kachanganya mambo
 
NIMEFIKA PAGE YA 172 NITAENDELEA JION TENA JUMA P MAHARAG

NIMEISHIA PAGE YA 172 NASOMA MDOGO MDOGO ALAFU NAFANYA NA PRACTICAL. HII THREAD HII IWAFUNGUE JAMII FORUMS KUANZISHA KITENGA CHA DATA ANALYSIS NA MACHINE LEARNING. NA DECLARE HAKUNA THREAD INA INFLUENCE NA YENYE IMPACT KWENYE MAISHA YA MABAHARIA KAMA HII.
E
 
2017 Vladimir zilikuwepo mkuu? mbona napata wasiwasi juu ya hii story yako?

[emoji117]me mwenyewe ni muuzaji wa hard drinks, lakini Vladimir vodka niemanza kuziona katikati ya mwaka huu..
Vodika zilikuwepo mkuu , ....vodika ndio vladmir jina tu imebadilishwa
 
Mmmh mkuu hatari Sana hiyo

Jimama hilo nimeogopa kwa hii stori
 
Bila ya kupoteza muda haya ndiyo makundi ya watu wanaoongoza kula tunda kimasihara.

1. WAPANGAJI WA KIUME AMBAO HAWAJAOA.
Kundi hili ni la vijana ambao ni mabachela waliopanga kwenye nyumba zenye wabinti wengi ambao ni wake za watu na wale wasio wake za watu. Hawa huongoza kula tunda kimasihara ndani ya nyumba waliyopanga.

2. WALIMU WA MADRASA KWA WANAFUNZI WAO WA KIKE.
Na hawa pia wanaingia kwenye kundi la watu wanye nafasi kubwa sana ya kula tunda kimasihara. Kwani wengi wao huwa na urafiki wa karibu sana na wanafunzi wao wa kike.

3. WAGANGA WA KIENYEJI.
Hawa pengine ndiyo wanaoongoza kula tunda kimasihara. Kwani wanawake wengi huliwa bila kutegemea kipindi wakienda kutafuta tiba kwa waganga wa kienyeji.

4. WAIMBA KWAYA KANISANI.
Ni watu wengine wanaoongoza kula tunda kimasihara. Kwani hawa huzoeana mpaka huanza kutaniani na kuja kushituka mtu ameshariwa.

5. WANACHAMA WA VIKOBA NA SACCOS.
Kupitia marejesho wake za watu wengi sana na mabinti wengi sana hukuta wameliwa tunda kimasihara. Wanachama wa kiume wa hizi taasisi za kifedha hulana sana tunda kimasihara mpaka balaa.

6. WALIMU WANAOKWENDA MARKING.
Walimu wanaokwenda kusahihisha mitihani iwe ya darasa la saba,kidacho cha pili, cha nne au sita hawa nao wakifika huko hurana tunda kimasihara sana. Inaanzaga kama utani mwisho wa siku mtu analiwa kiulaini kabisa.

7. MEMBERS WA GROUP DISCUSSION.
Hii ni kwa wale waliopo vyuo vikuu. Utakuta kimzaa mzaa tu mdada analiwa na jamaa waliopo kundi moja la kudisscuss.

8. MABAHARIA WA KWENYE VIGODORO.
Mabaharia hawa huanza kucheza na kabinti kwenye kidogoro na mwisho wake kabinti hako huliwa kimasihara kabisa kwenye boma au kwenye kichaka.

9. MABAHARIA WA KWENYE MKESHA WA CHRISMASS NA MWAKA MPYA.
Katika mikesha hii watu huliwa matunda kimasihara kabisa. Hasa mikesha ya mwaka mpya wadada ugawa tunda kimasihara mpaka raha.

10. WALEVI WA POMBE.
Hawa pia hulana kimasihara na baadaye huanza kuisingizia pombe ndiyo imewaponza.

Jumapili njema.
 
Hahaha..now days umerogwa
Kweli nyie maboya asee.. mnajadiri habari za simu na laini badala ya kuleta story za tunda..Acheni upuuuzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyingi ni sahihi,ila chache sio kweli kama hiyo ya mabaharia
 
Hahahshs aisee...... mnanipa mzuka na mimi wa kuleta testimony zAngu..mamaeer
 
Hahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…