''kaka yake na wadogo zake waliamua kwenda kukaa nche huku wakipiga stori wao kwa wao mimi waliniacha nimekaa sebuleni''
Dah..... hii chai mbona moto sana? Umekula mtu sitting room!!? Na ndugu zake wako nje!
 
We jamaa umekomaa kinoma kupinga ukweli..hujui lisemwalo lipo..ww kama ustaz wako kpnd unasoma madrasa hakukuchezea mshukur Mungu inshaalah ila waliochezewa usiwakatalie ku'confess hapa
Huyo jamaa anajizungumzia yeye ila Hajui DINI ni imanj ya mtu binafsi...kama alisalimika basi alipitia sehemu nzuri/alibahatika ila ukweli nikuwa wapo tena wengi sana.....
 
We jamaaaa umetisha saaana dah
 
Mama Naa si useme hata kwa ile ID yako ingine..[emoji23][emoji23]
Ningekuwa nayo ningeshaishusha siku nyingi saaana jamani!!

Mimi huwa napenda kwelii, siwezi kukulwa kimasihara kabisaa!
 
Mkuu umeweka na picha ya uliyemla?
 
"Advance betweeen her legs'' hahaha kwa hiyo ulituwakilisha vema internationally
 
Duuuh we jamaa unaandika/ unasimulia fresh, uandishi flan hivi attractive.

BTW ulichukua namba kwa matumizi ya badae?
 
''kaka yake na wadogo zake waliamua kwenda kukaa nche huku wakipiga stori wao kwa wao mimi waliniacha nimekaa sebuleni''
Dah..... hii chai mbona moto sana? Umekula mtu sitting room!!? Na ndugu zake wako nje!
Achana na maamuzi ya kichwa cha chini mkuu.
 
We jamaa umekomaa kinoma kupinga ukweli..hujui lisemwalo lipo..ww kama ustaz wako kpnd unasoma madrasa hakukuchezea mshukur Mungu inshaalah ila waliochezewa usiwakatalie ku'confess hapa
Unajua maneno ya uongo huumba kweli ila mtoa uzi kaongopa inabidi tumsahihishe mkuu kwan dhambi kusema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…