Umecopy na kupaste ya cutelove
 
Wabunge na mawaziri.
 
 
Wapenzi zangu wote ni kina mama ibada

hiyo namba 9 wakijaga eti naomba ruhuthaaaaaa huku kanibania pua

keythooo kuna mkeithaaa kanithaniiii,yani nawambiaga kama ni mkesha

Baki humu ndani mimi leo silali tuimbe wote tuabudu ila haendi popote nasema.

Hao mabaharia wa namba 9 ni hatari sana nawaelewa kabisa,picha linaanziaga pale

Mtumbuizaji akisema "mkumbatie jirani yako bega" haya twende left right left right aaaah weeeee hAPANA NOOOO
 
Tuondoe watu wa vikoba hapo, umetusingizia
 
Mabaharia wenzangu huu uzi utakuwa umepigwa ambush maana kuna id mpya zinatoa story za kutisha za ngoma wakati baharia never die.. naona sasa wame ingia ki mkakati wa kijasusi zaidi kutokomeza au ku slow down huu uzi.mpaka rikiboy utoke kifungoni sidhani kama huu uzi utakuwa na nguvu tena...God wabariki mabaharia wote duniani.

....Baharia never die....
 
Usiwatishe mabaharia... Sukari haijakolea vizur
 
Ndomuuuu ndomuuu
 
Mungu yupo na huu uzi. Hao washashindwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…