Mkuu umesoma Kwiro Boy's??
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fiesta,hakuna aliekula au kuliwa mzigo kimasihara huko..tuleteen mrejesho bc
 
Kunam mwamba fulani ni muimba kwaya Huko kwenye mji niliopo amekula waimba kwaya wenzake karibia wote .

Huku mtaani amechafuchafua mtaa Hadi wanafunzi (SEMA wanafunzi kaacha baada ya awamu hi kushika hatamu)

Ana more na mtoto ila anawachakaza tu
 
Huyu demu atakuwa mwalimu mkuu
 
Hapa tunatumia ids fake...Au wewe unanijua....sipendi kuongea mambo yangu ya faragha in reality life..achana na haya maisha ya ki-ghost ids tunayoishi humu..naweza kuongea chochote kwa kuzingatia kwamba hakuna ambaye ananijua
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
"Hupendi kuongea mambo yako ya faragha in public"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…