Na hapo ndio kina Martin Luther wakatokea. Roma ilikuwa kama kijiwe cha walevi

HU
Yaaani saivi zinaweza pita hata page mbili hakuna kisa chochote cha kuliwa kimasihara au unakuta stoy ndeefu mtu anaongea nje ya mada kabisaaa
U UZI USIWE UNAUFUNGUA KILA SAA NJOO AFTER 2 WEEKS UTAKUTANA NA PAGES 30 MPK 50. HIZO WEEK MBILI UTAKAZOKUWA OFF FANYA PRACTICE HAPO MTAANI YA ULIVYOVISOMA HUKU. NAKUHAKIKISHIA UTAKUJA NA STORY YAKO HAPA.
 
Hakuna differ.....kwa sababu mwisho wa ke lazima utataka kugongana....kama ukimiss kufanya hivyo then ikawa hakuna uwezekano wa kumpata mwanamke /mwanaume at that time lazima utaishia kupiga CHAPUTA TU........
Kuliko nipoteze hela yangu kwenye hayo mavideo call si heri hio hela ninunue Mb niangalie movie za blue print
 
Mkuu wewe ni hatari sana! Dah!!!
 
Andika herufu ndogo mkuu
 
Bwana wake na yeye alikuwa boya kwakukaa kizembe ilitakiwa yeye ndo awe anakutoloka usiku
 
Nimecheka kisenge,hapo walipokomaa ukatimuliwa
 
Baharia [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Tunarisk sana tunatumia gharama kubwa na kuweka rehani roho zetu kwa ajili ya tunda

Hahaha mkuu genye ni aina ya kichaa flani hv
 
Mkuu wewe ni riski champion
 
Yule dada aliniambia kwamba Mbona unafanya hatari kubwa mnooo...Bwana wangu huwa anakuja huku...akitukuta ni msala...........almanusura Mashine isinyae...ila nikakaza nikamuambia kama ndio hivyo basi nipe kimoja faster nisepe asije akanikuta kweli humu tukaja kuleta aibu ya mwaka........

Yaani kumbe yule Jaama nayeye alikuwaga anakwenda so siku ile sijui ilikuwaje mpaka hakuingia sijui muda wake ulikuwa bado...............Yaani kuna matukio nimewahi kuyafanya mpaka huwa najishangaaga
Bwana wake na yeye alikuwa boya kwakukaa kizembe ilitakiwa yeye ndo awe anakutoloka usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…