Hujasema alikufundisha vp mkuu namna ya kutongoza!
 
NADHANI NI KIWANDA CHA A-Z
 
Mzee baba ulijitoea katika kina kirefu tunataka vijana kama nyinyi wenye maamuzi yanayoleta Tija kwa Taifa na secta ya Mabaharia
 
Daaaa yaaani kweli ukiwa baharia kuna wakayi unatakiwa ujidai mwema sana !! Lakin unavuta subira ...usitake kupaparuka aise salute !!
 
My brother inamaana enzi za uvulana hizi incidence hukuzipata??
Nyie ma legend mna stori matata saana.
Haha, hatukosi lil bro, shida tu hii platform tukianza kumwaga tulivyopita kimasihara itakuwa noma sana.
 
Uwanja upi huo Mzumbe primary ? Umekaa kimaficho sana
safari haikufika hata kilimahewa iliishia uwanja wa mpira wa MU, pembeni ya mjohoro dog style ikachukua nafasi yake, baharia nikala apple saa8 mchana kweupeeeeeee
 
Uwanja upi huo Mzumbe primary ? Umekaa kimaficho sana
yawezekana kwa sasa upo hivyo, ila kipindi cha nyuma kidogo ulikuwa umesafishwa kimtindo,
sasa hivi mabaharia tunaendelea kula matunda tofauti tofauti, mapera, mastafeli, maembe, mananasi, machungwa na hata malimao tukiwa katikati ya Nchi, Idodomya..............
 
Da Vinci shida nini mkuu kwann unataka ufute story huo sio ubaharia....shusha nondo nyingine uliyomla mchepu wa faza kibaharia zaidi
Daah hapana asee... mimi sio baharia.
Naheshimiana na wengi humu.
They will be amazed for these stories
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…