Nitakuwa wa mwisho kuamini hiki kitu, yaani watoto waliolelewa malezi ya kilokole eti uwapige three some. arafu siku hiyo hiyo watumie kileo (saint Anna) ili hali hawakuwahi kunywa hata mara moja[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Fisi...
 
Hahaaa hua iko hivi mara nyingi hua wanakuja wao kwa mama kabisa kujitambulisha..mama yuko peace sana namm ila dingi weee..
Hahah mkuu hapa unatuambia una bahat kinoma unatongozwaga tu hujui hata kutongoza halafu kule kwenye Uzi mwingine unatuambiaga unawawashia kikoroboi unachana ulimi huku umepaka mafuta ya simba ili uwateke akili....tuamin lipi sasa
 
Duh
 
Hahah mkuu hapa unatuambia una bahat kinoma unatongozwaga tu hujui hata kutongoza halafu kule kwenye Uzi mwingine unatuambiaga unawawashia kikoroboi unachana ulimi huku umepaka mafuta ya simba ili uwateke akili....tuamin lipi sasa
You don't have to trust anything from random guys..
 
Naona wewe ni moja kati ya watu walionufaika na MZUKILA. Umenikumbusha enzi za Uzumbeni aisee.
 
Mnaogopa mademu zenu wakipitia huu uzi...wata waacha....
Hamna siyo mademu ujue nina nyuzi za kuomba ajira kama sita hivi sasa potential employer akiwa mlokole halafu akikuta mtu mwenyewe ndiyo nina hizi stori si kujikimbiza na ajira huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…