Uongo wa millennia huu[emoji125][emoji125][emoji125]
 
It makes sense kwa hili uloliandika.. naogopa fidodido akipita hapa akaona.
Talaka ya dec naogopa
Fidodido mwambie tulia mama.Nachangamsha genge tu.Hata yeye yuko na stori zake za another side zinaweza kua hatari kuliko zako.Uzuri awezi sema..
 
Hahah mkuu hapa unatuambia una bahat kinoma unatongozwaga tu hujui hata kutongoza halafu kule kwenye Uzi mwingine unatuambiaga unawawashia kikoroboi unachana ulimi huku umepaka mafuta ya simba ili uwateke akili....tuamin lipi sasa
Don't take serious mkuu....soma acha hapo hapo uwez amini kila unachosoma
 
Ulifeli sana. Hapo huwa tunatumia anonymous phone tena voice calls only
 
Hahaa...umeanza..kuna wengine ni mafia kuliko hata mimi..ila,wanaficha tu siri zao
Da ila wewe jamaa ni jasusi uliyekubuhu,umemla mke wa ndugu yako akiwa kwenu bila yeye kujua na kumla mtoto wa ma mdogo wako.Yaani mission zako zote ni za hatari hapa duniani ni Spetsnaz FSB tu wanaoweza kufanya ulichofanya.
 
Hahaa hii ingekuwa ni vita ya 3 ya dunia.... ila shetani alikuwa upande wangu
Aisee hi sijui ingebumbuluka sijui ingekuwaje mkuu. Ingekuwa balaa ziiiittto kabisa hil[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…