Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Habari..
Ewe mwanaume pindi unapokuwa unapika usije ukamruhusu mwanamke wako ashike mwiko kwa namna yeyote ile ya mzunguko wa duara wa kukutanisha vidole vyake iwe kwa kukusaidia kuweka kwenye sufuria au kulamba mwiko huku akidai mchuzi mtamu kamwe usikubali..
Wanawake wanaposhika mwiko pale mwanaume anapokua anapika huwa wanaenda kusimuliana aina ya mwiko unaotumia kupikia chakula.
Kuweni makini wanawake ni wajanja sana
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Anaitwa LTAaaah Kmmk ndio yeye bhana
sijui nina kichwa kigumuHabari..
Ewe mwanaume pindi unapokuwa unapika usije ukamruhusu mwanamke wako ashike mwiko kwa namna yeyote ile ya mzunguko wa duara wa kukutanisha vidole vyake iwe kwa kukusaidia kuweka kwenye sufuria au kulamba mwiko huku akidai mchuzi mtamu kamwe usikubali..
Wanawake wanaposhika mwiko pale mwanaume anapokua anapika huwa wanaenda kusimuliana aina ya mwiko unaotumia kupikia chakula.
Kuweni makini wanawake ni wajanja sana
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
nilijua mimi mwenyewe ndo nina kichwa kigumuMe mbona sijaelewa,, mzunguko wa duara vidole kufanyaje [emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji1787][emoji1787]Siku nyingine uteletee na vitumbua kabisa tushibe umumu jf
Leo jikaze muandikie msg mwambie ukweli Mimi sitaki kukuchezea kama unavyodhani ningekuwa nashida ya Kuktmba alafu nikuache ningeshakata tamaa lakini kwangu nahitaji wew uwe mke.Hapana mkuu , kwa nilivyo msoma ndiye mwanamke ninae mtaka ana sifa zote za kua mke ila ukauzu wake tuu ndiyo kizingiti yani napiga gear lakini hachanganyi kabisa mgumu kweli kweli. kumbaka naona itanishusha hadhi ya kuwa mume wake labda akikubali atoe mwenyewe
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mara mke wa jirani yako mara mke wako,Ni Mke wa mwalimu wa Madrasa, sasa uyu Ustaadh ni jirani yangu na ameshajua kua kuna boya anamtombea mke wang. Anakusubiri siku dem ameenda kutombwa anakusomea Kisomo icho, Kitachokukuta utajua utapambana vipi
Kakuzuga huyo. Ni Malaya tuuu sema katumia kigezo cha mke WA mwalimuVICOBA VICOBA, MAREJESHO VINAINGIZA WANAWAKE KWENYE MASIHARA
Basi niko zangu mkoa uliojaa uswahili mwingi unaanzia na jina la T. Basi niko Singida nikampigia jamaa yangu naenda kufanya mishe zangu naye ni muhimu tuonane. Basi akanielekeza ofisini kwake na nyumbani pia. Nimeshuka zangu nikampigia simu akasema yupo home maana weekend wakati mwingine huwa haendi. Basi nikaamua kutembea kuelekea kwake. Basi nimekaribia kwake nikaona kundi la wanawake wamekaa round. Basi nikaenda pale nikawasalimia kwa heshima na sura ya upole "habari zenu". Wakaitikia. Nikawaambia samahani mimi mgeni, naulizia kwa fulani. Wakatazama (kwa kuwa mjini kila mtu na mambo yake) hawakumtambua. Wakauliza simu ya jamaa, nikawadanganya yangu imezima. Basi nikawashukru, nikatoa pochi nikanyofoa hela zote kisha nikawapa elfu 10 wanywe soda nikawaambia waendelee na maongezi. Basi nikatoka zangu pale, nikampigia Jamaaa yangu pale nilipo aje anichukue twende kwake akasema anakuja. Basi nikiwa naendelea kwenda karibu na chuo fulani. Ghafra nikasikia naitwa "wee kaka". Basi nikageuka, nikaona mama mmoja miaka kama 30 hv. Akasema alikuwa pale nilipotoa hela ya soda, anadaiwa marejesho sh 50 elfu hapo ana 30 tu hapo walipo wanarejesha, nimuazime 20, kuna mtu amemwahidi kumtumia hadi sasa hajamtumia. Nikamwambia sasa mm hata hanifahamu kwa nn siazime wenzake, akasema amewaambia lakini hawana. Wamemwambia asuburie tu atumiwe. Kumwagilia nikaona hana amani. Basi nikamwambia nampa afanye chini juu jioni tuonane tutaongea mengi na hiyo naweza kumwachia tu, nikampa 30 elfu na namba za simu zangu. Akaondoka, Kumbe jamaa yangu ananipimia tu. Alipotoka jamaa akafika akanitania pale. Tukaenda kwake tukapiga stori. Tukapata na chakula. Basi nikamwambia jamaa naenda lodge, wakakataa na mke wake nilale kwao. Nikagoma. Basi wakaniruhusu. Jamaaa akanindikiza lodge tukaagana. Sikuona simu yoyote usiku mzima. Basi kesho nikaamka niende kwenye mishe. Nikaona meseji ikiomba samahani alibanwa. Basi nikaenda hewani, nikamjuza nilipofikia, akasema anapafahamu. akaniambia mida ya saa 3 atakuja. Nikawaambia mapokezi kuna mgeni atakuja saa 3 na kuendelea. Basi saa 3 na nusu akafika. Akaletwa chumbani. Alipofika tukakaa kama dk 5 hivi, nikaomba mzigo. Nikakubaliwa, tukakapiga romance ana ngasha kiunoni. Kupima oil yuko vizuri. Nikamtomber, miguno ya kutosha. Dk 4 hv wazungu hao. Kama dk 5 hv za maongezi nikaanza gemu tena. Nilinyonywa mbo, baadaye nikamtomber tena. Kwenye maongezi nikagundua ni mke wa mwalim. Mida ya kumpata ni asubuhi na mchana mme wake akienda kufundisha madrasa. Au mida ya kwenda sokoni. Na ana marejesho ya sh 50 elfu kila wiki, hata mme wake hajui. Basi nikamwambia nitamlipia mwezi 1. Kila siku nikawanajilia tu anapokwama na nafac, hadi nilipotoka huko.
Hatuna Kazi mkuuu.Wabongo tunavyopenda ngono unakuta watu wamespma uzi mzima na comment zake zote.
Kinga natumia na kupima tunapima .Sijataka kusoma mpaka mwisho.....kinga unatumia baba au unatembea na PEP
Sijataka kusoma mpaka mwisho.....kinga unatumia baba au unatembea na PEP
Ivi unajua window period ww daktari [emoji848]unaweza kukuta mtu yuko na infections ukampima ukamkuta negative ila yuko kwenye window period ila anaweza kukuambukizaKinga natumia na kupima tunapima .
"Labda mambo yaharibike sana" in JK voice!
Ona Sasa , tunaombeana nini??.Siku akipata Ngoma Ndio atajua
Weweee banaaa hayo yote nayajua.Ivi unajua window period ww daktari [emoji848]unaweza kukuta mtu yuko na infections ukampima ukamkuta negative ila yuko kwenye window period ila anaweza kukuambukiza
Juzi majuzi Kati Nimepima ,Niko fresh aiseeeeee.Dogo ukikua utaacha🤣🤣🤣🤣🤣 Ujana unafurahisha sana
Sasa unampimaje dem isome negative alf umpige na mpira yy mwenyew atakuona chizWeweee banaaa hayo yote nayajua.
Within WP, mtu anakua highly infectious ila ukimpima anasoma Hana, ni hiko kipindi maambukizi yanakuaga mengi sana.
Sasa Dawa ni kupima na kutumia kondomu Kwa pamoja.