Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Imagine ndio awe kaka yako [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]A man from kericho
Duh,vijana wa kizazi kipya yaani unaapia uzinifu kweliKuna mwanajeshi mmoja nitamla tu katika hii miaka kumi ijayo[emoji848]na asipokua makini nitamzalisha kabisa
Wanajeshi mliopo kwenye huu uzi naomba radhi
Kwenye huu uzi umefata nn ww baba paroko [emoji848]nenden jukwaa la siasa mvunje mkataba wa dpDuh,vijana wa kizazi kipya yaani unaapia uzinifu kweli
Hayo matusi. Uwe na luga ya kistaaarabuKosa la kwanza,kosa la kiitifaki....
Kuishi kwa shemeji Yako....
Inaonyesha ameku-degrade sana kukuambia "unaingia tu bila kupiga hodi" ....na umemkuta katika mazingira tata.
Amekushusha hadhi kwa kuwa unakula na kulala kwake...
Pili.... mwanaume anaejitambua hawezi kufanya huo ujinga...mf. nikukukute na demu...nikamwambia mkeo!? Ili iweje labda!?
Unataka kuvunja NDOA YENU!...Yes ...nimemaanisha NDOA YENU!....Maana mmeolewa wewe na dadaako!
Chunga sana maana maana akifukuzwa yeye...mmefukuzwa wote!
Mi mwnyw nmeshangaaSasa huyo shemaji Yako na wewe mna tofauti gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatar Sana hiki kizaziAmetoka tanga ana week Moja
Kisha ume mbembeleza muda mrefu
Hama hapo haraka
Unahisi Kwa nini natakiwa kukujibu? Nikikujibu utaamini?.wewe ni Dr au CO?maana madaktari ni watu smart,sio wa kujionyesha wala matangazo,bali kazi zao ndizo zinazowatanga,hata humu wapo wengi lkn huwezi ona wanajitangaza.
Nina wasiwasi hii ID na ile ya Hance Mtanashati ni kitu kimojaChai
Ukimwambia sister anawakula wote watatu bora uuchuneNawaza sana hii inshu. Sipati majibu nimegundua shem ana mpigia misele dada wa kazi hapa home. Siku nimeingia jikoni shem hakujua kama nimerudi toka wapeleka watoto shule.
Mimi nliwahi kurudi ili nimle huyu binti maana nlishamweka sawa kitambo kuwa tuwe tunatiana moyo mle ndani. Siku hiyo shem sikujua hajaenda kazini. So nikawahi wapeleka watoto shule. Haraka nikarudi milango haikufungwa. So getini nlitumia tu funguo ya kwangu. Kuingia ndani nikaona nipite moja kwa moja jikoni kwanza nile nipate nguvu ndo nikamgegede yule bint.
Nimeingia jikoni namkuta shem kamshika kiuno binti mkono mmoja na mwingine anamchezea matiti. Alishtuka na kuropoka "unaingia tu hupigi hodi?"
Nliumia sana kwa kweli huyu binti ana week tu ametolewa Tanga. Nami nimehangaika sana kumshawishi kuwa pale home mimi nina sauti asione tu nakuwepo kuwepo ndo msaada wao mkubwa wale Maboss wake. Akakubali kuwa siku ile angenipa. Sasa nakuta shem naye anataka kula. Ni jambo la aibu sana kwa kweli. Na ananikosea heshima maana mimi umri nimemzidi kiasi.
Nawaza je nimwambie sister au nimtafutie siku nimchane aache ufala. Maana huo ni ufala tu. Anajidai anaumwa haendi kazini kumbe ana inshu za kisengendu. Na ninavyomjua sister atamwashia moto kishenzi mle ndani.
Tunasubiri yako ya kuliwa kimasiharaHuu uzi mbona sijaelewa? Nilikua nacoment kwa uzi wa alietembea na mtu mwenye virusi sasa mbona nipo hapa