Uzi ushakua wa kiduanzi huu.
Tunasubiri huyu jamaa anaejiita komeo anaepelekewa moto yeye pamoja na dada yake apoe.
Na huyu daktari wa mchongo mzee wa dead balls af majigambo dunia nzima nae apoe, tuendelee na uzi wetu.
For now ngoja tujichimbie ardhini kwa muda
 
Niko nje ya mada kidogo wakuu;
Mbona siku hizi mke wa jirani yangu kawa mzito sana kitandani? Tatizo linaweza kuwa nini? Au nifanyeje?
Nenda kamuulize mumewe usikute sio kwako tu hata kwake ni changamoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Definitely, Mwanaume lazima awe na option ,na lazima umuoneshe kua una option zaidi yake,a man lazima ajue when to walk away ,sio unalia nyau mda wote as if hakuna wanawake wengine,hapa ndo inakuja issue ya plates theory,,watu wanfkr being nice to her itarahisisha zoezi,mwisho wanaishia kweny friendzone [emoji706]
 
Huyo kwenye picha anaitwa Agnes,pesa yako tu [emoji2]
 
CHAI
 
Chai
 
Ulipokosea mahesabu ni pale ulipoanza kumpotezea
 
Hama kwa dada ako haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…