Mama P upo?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nafatilia hapa h/g anavyonipindua kwa mume bila uoga!!! Ashukuru bibi wa ngende is nolongaaa vinginevyo ningempa kishipa

Shem niitie udugu wangu, simu kazima mbona?? Nammiss mwambie
 
Inabidi muwe na imani na mama kwani anania njema na ninyi ikitokea tukaiuza hii nchi tunachopata kitasaidia kujenge mahospitali na shule za wasichana ndio maana unaviona vikiota kama uyoga kila mkoa.
Hamna kitu hapo kwenye hivyo vitu mkuu!.

Kama umefika Unguja nadhani unaweza kuhakiki hili nisemalo, kule issue za skuli ni skuli kweli, yaani pesa ya uvico imetumuka ipasavyo m, haya njoo huku bara sasa 😢!.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nafatilia hapa h/g anavyonipindua kwa mume bila uoga!!! Ashukuru bibi wa ngende is nolongaaa vinginevyo ningempa kishipa

Shem niitie udugu wangu, simu kazima mbona?? Nammiss mwambie
Uduguuuuu nipooooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waooooooh!!! [emoji8] mwah [emoji8] mwah [emoji8] mwah

Udugu umezinduka?!! Acha kukamia show bwege wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuuu niwacheeee, kukamiaaa wapiiiii??
Mchawii life uduguuuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuuu niwacheeee, kukamiaaa wapiiiii??
Mchawii life uduguuuu.

Mxxxxxieeeeeww!!! Wadanganye wasiokujua sio mie udugu wako, hebu njoo chemba kwanza banaa nna jambo limenikaba kooni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mxxxxxieeeeeww!!! Wadanganye wasiokujua sio mie udugu wako, hebu njoo chemba kwanza banaa nna jambo limenikaba kooni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakujaaaaaa uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…