Kimasihara ilinitokea mwezi wa 6 mwaka huu ilikuwa hivi:
Mwaka jana nilikuwa nimepanga makazi maeneo ya kimara Huku naendelea na mishe zangu za hapa na pale. Sasa bhana kuna Pisi alitokea kuwa rafiki yangu tu na connection yetu ililetwa na Mwanangu sana ambaye ni mtu wa utani mda wote na watoto wa kike. Sasa kwa sababu pisi yenyewe inafanya kazi Kampuni X la mitandao ya simu na ni mtaalamu wa kuhack mabando yetu Yale ya kinyemela so tukajikuta tumebadilishana namba. Ilipita kipindi kirefu sana bila ya Mimi kuingiza maswala yoyote ya kuomba mbususu sababu nilihisi kwa uzuri na Lile T@ko alilonao sidhani kama mkeka ungetiki. Muvi ilikuja mwaka huu mwanzoni nilikuwa kwny mahusiano ya kiwaki nikapiga chini ile nimekaa mwezi wa 4 Niko zangu Tungi nikawa nachezea simu nikaamua niruke hewani na hii pisi ya kimeru kweli piga kapokea stori za hapa na pale kidogo sijaremba mada ikahama nikamtongoza Direct Niko mkavu kabisa akawa anacheka Cheka mara haitowezekana mara aniulize siku hizi naishi wapi, nina mtu wangu bla bla nikaona isiwe tabu nikampotezea. Sasa mwezi juzi Niko zangu weekend nimeanika mbupu Sina mishe ghafla simu ikaita kucheki ni yeye namsikiliza ananiuliza "mbona kimya sana"... "unaishi wapi siku hizi" sikutaka stori nyingi nikampa ramani kimasihara sikuamini hiyo siku alikuja Mpaka Magetoni makazi mapya Tabata karibisha pale toto imevaa Jins na tshirt + kimkoba kifua chake kidogo ila kuanzia kiunoni kwenda chini ndo vurugu patashika balaa kama kajala copy. Kufupisha stori baada ya kuomba kwenda washroom Demu nilimla vibaya sana mikao yote anatembea piga bao 2 usiku No kunuka K wala Nini. Asubuhi nikapewa na staftahi moja murua (niliuza Mechi zote, Ugumu noma). Alivyoondoka kaniachia hereni mpka Leo ninazo ila sijamwambia Chochote sababu najua yupo kwny serious relationship na Kuna maswali sikumwelewa kabla ya kumpiga rungu na sikutaka aniulize tena.[emoji285]
 
usingevaa Soksi alafu Angekufinyia ndani Tako zako tatu ni mwendo wa kumwaga wazungu na kamasi Respectively.
 
Staftahi ni Nini mkuu
 
Safi sana mkuu. Hawa viumbe ukiwakaza vizuri lazima wakutafute

Shoo shoo inalipa
 
Siku moja nmetoka dinner nakutana na binti mweusi, kavaa ribon ya Tanzania mkononi, akiwa na wahindi wawili mabinti. Aliponiona alishtuka, akaja mbio akanikumbatia na kusema "see a black man".
😍😍😍 hizi moment huwa nazielewa sana mkikutana watu wa taifa moja nchi ya ugenini hasa wa jinsia tofauti
 
...alivaa kigauni laini kinachoishia juu ya magoti...nikamvua shati lake la juu....nikamfungua sketi...aiss umetudanganya kimasihala!!
 
Togwa mixer machicha

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mwambaa, wanakujaga tu hao viumbe hatupaswi kukataa tamaa wanapotuignore once or twice [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…