Kwanini huwa mkiona comments mnasema watu wanamchango mdogo Kwa taifa ? Unajua Niko sehem Gani katika kuchangia ustawi wa taifa? Unaweza Kuta mim ndo naongoza mawasiliano ya ndege alafu hapa unasema Sina mchango kwa taifa au mchango upi unataka?
Umejieleza vizuri halafu kwa uchungu sana. Nimejikuta nacheka peke yangu
 
Ahhahahahah Leo kamkia nilipolala j4 naondoka zangu..anasema anataka kuongeza mtoto wa 3 mwezi wa tisa sumu ya sindano Inaisha nirudi nimpe mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa mkoa wa mbeya wakimpenda mtu ni ruba nishashuhudia demu kampiga mwenzie kisa mwanaume

Naye mwanaume kuleta vyoko kajumuishwa Kala kichapo

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wa mkoa wa mbeya wakimpenda mtu ni ruba nishashuhudia demu kampiga mwenzie kisa mwanaume

Naye mwanaume kuleta vyoko kajumuishwa Kala kichapo

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ahhahahahah pia Wanachokera zaidi wana amri za kisenge kama hujielewi unamtegemea yy hakuna rangi utaacha kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Home Boy na Class mate Wangu kutoka Cuba
Ukishaingia huku hutoki kirahisi
Japo mi naenda kuacha sasa.
Unakua unafurahia mshangazi unavolia lia na miguno kumamake
 
[emoji16][emoji16][emoji16]umetumia mbinu Gani kuacha ? Manake mfupa huu umenishinda kuacha Yani nikiona aged woman mwili unasisimka kbsa kama Simba kaona swala
Haaa haaaa nimebaki na Demu Wangu
Soon ntamuoa...
Acha na wewe, japo hayo madude matamu sana na yanapenda sana sisi vijana tunafanye nayo kazi
 
Home Boy na Class mate Wangu kutoka Cuba
Ukishaingia huku hutoki kirahisi
Japo mi naenda kuacha sasa.
Unakua unafurahia mshangazi unavolia lia na miguno kumamake
Magari Namba A Yana Engine nzima kuliko namba E
Ndio Maana ukianza kuendesha Namba A hizi zingine unaziona kama kopo za redbull
Kwa Bahati mbaya sana Vitoto vya kuanzia 95 Vimelika Mpaka vinatia Huruma
Ukipata Manzi kuanzia 80 kurudi mpaka 70 machine Safi Sana.
 
Home Boy Pumzika
Niko namaliza Kazi Moja hapa
 
Inaonyesha dhahiri kabisa kuwa baadhi ya wanaume wanapenda wangekuwa wanaprlekewa moto kuliko wanavyotakiwa wapeleke moto.Watu wengi hawajitaki walivyo.
Duh mbn celewi mjadala wenu, kwahyo humu ndani tunapenzika na vichoko bila kujua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…