,,,Nilikula kimasihara pisi moja juzi weekend. Niliikuta kitambaa cheupe.

Inafanya kazi benki moja maarufu hapa nchini.

Niliikuta imekaa yenyewe inakula zake savannah. Nikaomba kama naweza join meza. Ikanikaribisha.

Kula zangu Bia laini laini. Kaka nusu saa hivi kila mmoja na simu na vinywaji vyake. Basi nikakata ukimya... Vipi mbona mrembo hivi uko mwenyewe? Hujaja na Shemeji? Alichonijibu sasa,, Shemeji? Wooi!.

Basi nikajua yupo mwenyewe, nikamwambia I'll pay your bill tonight, siyo vizuri binti kama wewe ujilipie mwenyewe na mimi nipo.

Story mbili tatu akanifungukia kuwa msela wake haeleweki, na ameanza kubadilika baada tu ya kupata kazi nono. Before dem ndo alikua akimbeba mwana coz hakuwa na job.

Vyombo hadi sita kasoro akasema anataka ondoka. Nikamwambia nihakikishe amefika home maana alikua amelewa lewa. Basi ita Uber pale nenda hadi **** anapoishi.

Shuka kwenye gari, nikaisindikiza hadi mlangoni... Kabla haijaingia ndani, nikaiambia "can I hug you?" Akakubali, and i hugged her very tight kama sekunde kadhaa hivi. Akili za kimasihara zikanijia, nikasema ngoja nifanye jambo. Nikashika t*ko hakupinga, kiss shingo akashtuka. Akachomoka kwenye hug. Akaniambia Goodnight Mjina. Nikaitikia kishingo upande.

Akafungua mlango kuingia ndani nami nikafata nyuma...

Itaendelea....
 
Wewe ni mpuuzi
 
Uliuza mechi?
 
Ndugu katika Azuma, amani iwe nanyi!
Jana nikajichanganya na hizo confidence za kisenge kwenye duka moja la vipodozi si nikaliomba qhumer limama limoja likubwa, nimetukanwa sana pamoja na kupewa ushauri nirudi katika maadili na misingi ya kitanzania, nimedhalilika sana, i hate, i depise and i take no delight kwa ushauri wenu wa kikumamayo ulionifanya nidhalilike, by the way nipo huku Kigoma kikazi kama kuna mwenyeji wa huku tuchekiane inbox tuonyeshane vijiwe wa Hansons!
Amani isiwe nanyi nyote
 
[emoji23] mkuu usikate tamaa
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…