Noma sana mtaani mzee
 
🤔🤔🤔unazungumzia mpangaji, wenzako mama mwenye nyumban na mtoto wake, mpangaji mwenzangu analiwa kishkaji tu., Kuna wawili wananilelea watoto.
 
Wajua nini mkuu, kuna kipindi nilikutsna na kitoto, mwili mkubwa hivi, nikasema ngoja nione...kalivyosema kana 23yrs nikavuta handbrake...
Are you serious? Miaka 23 mdogo? Huyu tayari kashamaliza chuo kikuu na ana zaidi ya mwaka mmoja ktk work force. Namfahamu mwanamke aliyeteuliwa kuwa mkuu wa wilaya akiwa na umri huo. Mwanamke mwenye miaka kuanzia 18 as long as amemaliza kidato cha 6 huyu ni mtu mzima hata uwe na miaka 99. Binafsi mimi hupendelea 20 mpaka 23 ndio kundi langu yaani wanafunzi wa vyuo vikuu.
 
Yani kila nikifanya scanning zangu zote nagundua hakuna tunda nilikula kimasihala......lakin walaji tujizuie kula wake za watu ni hatari sana kwani nimefanya uchunguzi nimegundua hakuna mke wa mtu mgumu kuliwa labda kama tunepewa chai humu.
Ni 100% ukweli sana.Tuachane na wake za watu jamani, ni wepesi mno, chumvi mara moja tu, maji yanaiva.Hawajui kukataa hasa ukiwasifia tuuuuuuu
 
mhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…