Hii ndio maana halisi yakula kimasihara sasa
 
Hilo chimbo la Coco Beach mkuu nielekeze kwa pm bc ntashukuru mkuu, na mm nizamishe mtoto wa mtu hpo siku moja nijizolee point
 
Hilo chimbo la Coco Beach mkuu nielekeze kwa pm bc ntashukuru mkuu, na mm nizamishe mtoto wa mtu hpo siku moja nijizolee point
Ni pale ukimaliza zile sehem za mishkaki kama umetoka posta unaenda sea cliff kuna choo cha kulipia cha manispaa halafu hizo restaurant zinafuata, burger wanauza elf 9, pizza zinaanzia elf 12 mpaka elf 32 kulingana na ukubwa na flavour
 
Ipo hivi jana majira ya usiku kama saa 2 hivi, nimetoka zangu job pande za Mwenge ,si ndio nikapanda daladala, vile napanda tu uso kwa uso na pisi kiukweli pisi yakwenda,mimi nashukia ubungo live sade kumbe yeye nae anashuka live, kwaiyo garI iliposimama tukashuka wote, si ndio mzee baba nikatupa mavoko mtoto akanielewa, nikampeleka kwanza cafe akapata msosi, mtoto bado, mtoto ziwa lipo, jamani acha tu, basi tukapiga msosi wetu tukatoka pale mpaka kwa room kuingia tu ndani akabaki kama alivyozaliwa, Ebwana ata sielewi nguvu nilizipata wp, jamani nimtam, mpaka leo mchana kanisalimia.
 
Hapo riverside umekutana na malaya wanaojiuza, ni sawa tu na umepiga bomu mochwari.
Ilishawahi kunitokea hivo hivo demu akashuka riverside hata hatukuchukua muda akawa amesaini mkataba,
Kidume nikajiona mwamba😂
Kilichofuatia ni gono kwa kwenda mbelee.
Saiz mimi demu mpya ninacho mpima ni GONO & UTI hata sio UKIMWI.
 
Uyo laana itamfuta yeye na kizazi chake.
 
Ivi ubungo live sade ipo sehemu gani hapo Dsm?? 🥴🥴
 
Kuna jirani hapa amedakwa na mke wa mtu, kapigwa vibaya mno kapelekwa hospitali nimeambiwa hapa saivi imebidi alazwe, kavunjwa mguu, mbavu....

mtendaji asingeingilia jamaa angeweza kuuawa aisee

nyie endeleeni....
Ajali kazini. Kuvunjwa mbavu tu unakata tamaa? Wewe mwanajeshi wa wapi? Kimasihara hoyeeeee
 
Gono unapimaje Mkuu, niliambiwa hakuna kipimo cha gono
 
Muongo kama kwel njoo pm unipe code nipo river hapa
 
Aiseeeeeere, daslama motoooo….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…