Hapo umepigwa na kitu kizito kichwani. Mwenzio alikuwa anaenda Riverside pale wanajipanga karibu na sheli ukikatiza tu wanakuita shemeji, shemeji. au wee kaka, kaka samahani. wengine anakushtua kwa signal tuu usogee. Kwa ufupi ulikutana na malaya anayeenda site sema kabahatisha dili mapema.
 
Hahahhah. Nimecheka kweli. eti bomu mochwari. Mimi siku zingine huwa najipitisha tu pale river side mida ya saa 2 au 3 usiku nikifika pale karbu na sheli napunguza mwendo alafu nawapiga jicho flani la kiwizi wizi alaf wanaanza kuniita basi najisikia raha alafu nasepa zangu. Anyway ngoja niwape story moja ya hapo riverside. Hii dunia ina mambo.

Kuna kipindi nilikuwa naenda kufanya mazoezi kwenye ile barabara ya mwendokasi ya flyover kuanzia riverside hadi mawasiliano mida ya jioni. Alaf nikimaliza mazoezi narudi zangu gheto. Sasa siku zingine nikimaliza mazoezi napita pale sokoni kununua mahitaji. Sasa kuna wale wanaopanga bidhaa kando ya barabara kuanzia darajani hadi ilipo hotel ya Landmark. Nikamwona binti amepanga bidhaa ndogo ndogo pale kumcheki moyo ukapiga paaaaaaah!!! Pisi kali shepu lake nililielewa haswa, mbichiiiii daaah. Nikajuliza hivi huyu inakuwaje anauza nyanya na vitunguu hapa. Akili ikaniambia au hii biashara ni mtego tuu. Anyway, nikanunua karanga za buku nikasepa zangu ila usiku sikulala aisee nikawa namuwaza tu yule mtoto.

Kesho yake nikaenda kama kawa ila nikajipanga kabisa, na mbinu zangu zikatiki. Nilichukua kipande cha karatasi, nikaandika namba yangu. Nikaweka kwenye mfuko wa shati ambapo pia nimeweka hela ndogo ndogo. siku hiyo sikuenda mazoezi. So nikapita zangu huyooooo matembezi. Nikamwona yupo, wakati narudi nikapita tena pale, nikanunua tena karanga za buku na items zingine jumla ikawa kama sh 4000. Nikatoa sh 5000 nikaunganisha na ile karatasi yenye namba. Akachukua hela huku akitaka kurudisha ile karatasi nikamsukumizia nikamkonyeza akaelewa somo haraka akaiweka. mi nikasepa hata ile chenji sikuchukua.

Kwenye mida ya saa 3 naona namba mpya inanitumia sms. nikapiga ni yeye. Sikuremba mwandiko nilinyooka tu kumsifia na kumweleza shida yangu. Akanipanga kuwa usiku ule hawezi kuja atanitafuta kesho yake. Kweli kesho yake alikuja ila nikaona huyu hatakiwi kufahamu kwangu asije akahamia nikampeleka lodge. Nilijilia kiulaini kwa muda ila baadaye nikasepa nilipoona sasa ananigeuza kimbilio la shida zake.
 
Pokea PhD ya heshima Mkuu
Acha kujaza server za jf aisee. So umeamua kurudia kisa kimoja kila page? Acha ushamba wa kizamani huo.[/QUOTE]Mbona unamoenea mshikaji hata akirudia mara 70 sio shida anainjoi muache awe huru na bundle lake,wewe nani amekuambia server ya jf inajaa acha makasiriko chalii
 
Siku moja nmekaa zangu sina moja wala mbili nkapokea simu kua inatakiwa niende mkoa x kwenye semina ya mafunzo ya kazi yangu!
Hivyo nkapewa agizo ya vitu muhimu vya kwenda navyo+ idadi ya watu tuliochaguliwa pamoja
Jioni yake nikampigia (mariam) sio jina lake harisi
Nikaongea nae na baadae tukapanga siku na muda wa kuondoka
Mariami ni mdada wa kati sio mnene sio mwembamba ila ni black beauty hivi
Mrefu kidogo kunizidi na hata umri pia kaniacha kidogo..

Siku tuliopanga kusafili ikafika
Saa 12 nipo kwenye gari ..yeye hakua kafika nikampigia kumbe alikua tayari nje ya gari
Akaja kwenye seat tukakaa
Alikua amevalia skin nyeusi ..huku kiuno na shep yake vikionekana maridhawa kabisa!
Safari ikaanza na hatimae tukafika
Kutokana na location ya eneo la semina na ofisi ilipo ilibidi tupate lodge maeneo yaleyele
Na kwakua tulikua tukifanyia mjini hata lodge tuliopata ilikua nzuri na safi pia
Nkachukua chumba nae pia akachukua chakwake..
Nkaingia nikaoga then nkatoka kwenda nje kushangaa mji kidogo
Baadae akanipigia simu kuuliza nipo wapi nkamwambia nipo nazunguka zunguka kidogo!
Akasema sawa
Nkarud nkamchukua tukaingia sehemu kula
Tukala kisha tukarudi kila mtu akachapa usingizi kwake

Kesho yake tukaondoka kwenda kazini ,tukaonana na wenzetu na semina kidogo ya utangulizi
Tukarudi me nkazama room nikawa naangalia muvi kwenye pc yeye ana yake huko ndani
Day 1
Day2 na day 3 ilikua hivyo even day 4
Sasa ijumaa nikamwambia unaonaje tukienda kula nyama maeneo x
Akasema frrsh twende
Then haoo hadi kiwanja
Tukapiga nyama sana
Mim nkaagiza smirnof ice yangu bariidi nkawa naipiga

Nb me sipendi pombe kiasi ichon na sio mnywaji wa ulevi
Naweza kunywa mala 1,2 tu kwa mwaka
Basi nikawa nakunywa pale na yeye anapiga wine(siikumbuki jina kwakua sio mtu wa hivyo sana)
Aliitandika weee mwisho akalewa
Na mimi nkawa na wenge kidogo kwa mbali ila nnajitambua
Tulipomaliza tukalipa na tukaanza safari ya kurudi
Ita gari ikatupeleka hadi lodge
Ile manzi ilikua inayumba tu na kicho ni nyanya!
Fika lodge ndio kizaa zaa kikaanza na mawazo ya ngono kuniingia
Kumbuka ukiingia hivi kwenye zile cordo chumba changu kilikua mwishoni afu chakwake ni mwanzoni tu
Nkachukua funguo zangu na zake tukajongea vyumbani
Kufika pale kwenye cordo bada ya kupanda ngazi kuja juu sikumuachia tukanyoosha hadi kule kwangu!
Tukafika nkamkalisha kitandani
Akaniangaliiiiiaaa akacheka akasema nahman mdogo wangu unataka unifanye nini dada ako..nlichek kinoma.. nkamwambia leo nataka nilale na wewe
Akasema kwahyo unatakaa unitomb€ dada yako..nkamwambia eh..akacheka kicheko kile cha kuchoka na kulewa akasema mjingaa wewwwe!
Nkamwambia inatakiwa ukaoge kwanza akasema nkamfuatie mswaki wake na dawa kule
Nkaenda..
Nkachukua na kurud
Narudi nakuta ndio anafungua kifungo cha suluali
T shrt kashatoa na aloo yule manzi ana rangu nzuri
Mipaja imejaa jaa hivi afu sio meupe na sio meusi
Akaingia bafuni na akaoga akatoka
Akajifuta maji akaongea na jamaa yake sijui afu akalal
Me nkaoga chapu huku mawazo yapo kitandani pale
Nkarud bedi nkachomeka simu zote chaja nkapanda kitandani
Kufika hata sikupoteza muda
Nkakamata uno akatuulia pandisha mkono juu kwenye chuchu katulia tu
Nkafungua taulo nkaanza kuzinyonya chuchu katulia tu
Ile zungusha ulimi kwenye chuchu akatoa ka mlio aaaahhhhhah
Nkazidisha sana ile kitu…
Shusha chini mkono hadi kwenye k
Ilikua imejaa hivi afu imeloana balaa
Piga sana finger hadi akawa anaminya mkono kule chini
Baadae akasema .nahman chomeka ****
Nami nkatimiza maagizo nliopewa
Nlipenda vile yule manzi alikua anaguna
Mgeuze muweke utakavyo anaenda tu!
Tulitrombana sana nkamwaga na yeye akamwaga na sio mala moja tukalaa

Saa tisa nmeshituka nahisi nini hiki kumbe bibie kaamka kachukua mashine anainyonya
Nkampandia tena!
Piga sana mbupu!
Baadae tukalala
Kuja kushtuka saa4
Nkamsalimia akajibu toka hapa!
Tukaenda kupiga tea..tukarud ndani
Najua unajua kiliendelea nini!
Hadi mwezi unaisha ilibidi turudishe chumba kimoja.. tukawa tunaishi kama mme na mke ila marufuku kukaguliana sim au kufatiliana
Ilikua ni kazi-kula-kutomb tu!
 
Wewe umeokota Malaya...
 
haahaa cafe ya pale chini wanapouza matunda sio jiran na bajaji za kwwenda makoka.
alikuwa anakuja job riverside kwa mama john karibu mjini.
 
Umeokota mnyama machinjioni. Hiyo umegonga treni
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Utu uzima dawaaaaaa. Nyinyi ndio mkiwashika hawa watoto WA tisin na 2000 hawaaachi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…