Moja kwa moja ni masihara
 
Ndio ukweli malaya wengi sikuhizi wanajificha kwenye kichaka cha nasoma chuo , na sikuhizi malaya wanasafiri mkoa kwa mkoa anaangalia tuu mkoa gani una biashara nzuri
Wazeee mnachekesha sana, hivi hakuna malaya vyuoni?
 
Mwanamke ambae si malaya ebu njoo umuelezee ? Ili mwanamke asiwe malaya inatakiwa awaje ? Atombwe na nani na kwa wakati gani ?
Alafu anasema as if chuoni hakuna Malaya,wakati malaya wapo mpaka kwenye corporates kubwa [emoji23]
 
Kuna watu hawana exposure bado kabisa humu ndani,sijui ni wakazi wa wapi,yani unajiuliza huyu kweli hata chuoni kafika? Mimi nimemshangaa jamaa [emoji23],anafikiri malaya ni mtu alieishia darasa la 7 tu,kuna bitches mpaka kwenye Corporates sembuse vyuoni?
 
Betta males wanaongezeka kwa kasi sana[emoji23]
 
KWELI MKUU, Yan kwenye corporates ndio yana UTI kali sana alafu yapo mengi na ndio ukiyachukua yanajiachia kinoma, yan ye anadhani umalaya una madarasa ahahaha mbona kuna watu hawajasoma hata shule na wamenyooka sana umalaya ni tabia na wala si vidato mkuu, majitu mengine mashamba sana
 
Kipindi cha nyuma kidogo ni ewahi kushuhudia malaya wanadribe ndiga afu wanakuja kutega pale Q bar
 
073 ulivo kula hakutoa nnya ata kidogo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…