Duh ujasiri huwa mnautoa wapi nyie watu, hizi kimasihara ipo siku mtu atakuja letewa kesi ya kubaka[emoji23]
 
842 kj ni mlale sio mafinga
 
Sawa tumejua una gari
 
Mkuu itakuwa wewe ndio unamakosa ukusoma saikolojia yake.
Wanawake ukikosea step moja tu mwanzoni unasekwa "Friend zone" kutoka apo ufanye kaz haswa

Unakuta dem ni malaya malaya tu af unaaenda na swagga zako zakumuoa utapata tabu sana maana utavaliwa uhusika wa wife material

Ndo ile wana wanakuambia yule dem maji mara moja ila we kila ukienda wap[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…