Wakuu...ma broo na ma sista...Kwanza poleni na majukumu ya Kila siku...

Kwa kuzingatia michango ya Wana jf member hapa...Kuna namna imenisaidia na kuweza kumla huyu demu siku ya Jana jumapili kwa maana ni siku pekee ya huyu mdada kuwa off kazini... Wazo kubwa nililolipata hapa jukwaani ni lile la kutenga bajeti ya kiasi Cha pesa ambacho Mimi nilitenga laki moja ...hii niliifanya ya kumhudumia shida zake ndogondogo kwa sababu nature yake ni kuomba vocha Sana na hela ya kula..bhasi kufika Jana huyu dada akajaa kwenye kumi na nane ...mwamba nikamaliza.

Sasa wakuu baada ya kumla niliaona si vibaya nikampa 50k Kama zawadi na kumjengea imani ili wakati mwingine arudi tena,Sasa wakuu hapo kumpa hio 50k nimekosea?swali hili naliuliza kwa maana sijajujua ninajenga au ninabomoa katika kumrekebisha tabia yake ya kuomba omba hela...

Lakini baada ya mizengwe ya wiki ya Kwanza kabisa Ile mpka nikalipia outing ya 74k,nilijifunza kutokana na michango ya Wana member humu Kuna vitabia nilimkemea na binti kweli aliviacha..vijitabia vyenyewe ni vilikuwa nipale anakuomba hela labda ten...halafu baada ya kutuma asemi asante au siku nzima anaponitafuta ni pale anapokuwa anauhitaji wa kula hayo machipsi yake na mavocha ...bhasi Mimi sikusita kumpigia na kumchana na kumuelimisha kuwa Mimi Kama mwanaume wako na kiongozi wako nataka aache hio tabia Mara moja na sipendezwi kabisa na tabia chafu hapo ikumbukwe ni bado hajaja ghetoni lakini aliweza kuobey hio Sheria na akawa ananipigia hata Kama Hana uhitaji...

Sasa wachangiaji nisiwachoshe Sana siku ya Jana nilivomalizana nae nikaona isiwe tatizo nikampeleka mpka mbezi...kufika mbezi ambako shoga yake yule wa mara ya Kwanza siku Ile alikuwa amekuja nae outing waliaahidiana nae wakutane hapo ili warudi kwa pamoja sababu wanakaa mtaa mmoja akawa amewahishwa na haraka zake...nikaona isiwe tatizo nikamwambia bhasi ntakupeleka mpka goba mpakani ili achukue bajaji aende kwao ..akasema sawa nikamrusha chap Ile tumefika tu ananiambia tena Sina hela ya kula,nikamuangalia nikasema kimoyomoyo huyu anamashetani Nini elfu hamsini nimempa na naul nilimpa 15k goba mpka kibamba ya kuja ameungaunga usafiri akabaki na chenchi ya kutosha tu kwa maana nililijua hilo alivokuwa anaenda kuoga baada ya show nilichukua simu yake nyuma ya kava ana elfu Saba. imebakia....nikajikausha sababu mi kiukweli nampenda nikatoa ten nikamwambia boda anirudishiie buku tano na kumpa 2k nyingine ya boda ili amfikishe kwao kwa maana mda huo alikuwa ameshanikwaza nikasepa nikapitia ngao pub nikapiga mboliko nikirudi home mda huo nahasira tu.

Kinachonichanganya nikiweka amri nzugu naona nidemu ambaye anazi tii kwa kiasi Sasa sielewi nimfanyaje Kuna muda Kama ana Mambo mengi unaweza kumtafuta asipokee simu lakini haachi kunitafuta hata Mara moja tangu nilivomchana.

Saivi naangalia game ya Totten na full ham nimemcheki na kumuelekeza nataka nimuweke ndani nimuowe kwa maana sote sisi ni waislamu na ni dhambi kuzini naona ananiambia mpka mwakani ni mpaka amalizie koz ya kompyuta ambayo aliiachaaga njiani, nimemwambia sawa ..tutaongea zaidi Ila nimtu ambae naona kapokea kwa wema na amenisihi nimjulishe nitakaporudi nyumbani kwa kuwa mi nipo baa na sijajua lengo ni Nini labda ajue Kama niko salama ...Yani Kuna mda anajali hadi nafurahi ila Kuna vijitabia vya kingese hadi simuelew..

Ila nampenda Sana na Jana kanilazimisha nitumie ndomu maana yuko danger mi nikamkazia kinomanoma pale ilikuwa vita akakubali nikamwambia atatumia p2 Kama anawasiwasi na mimba Ila mi hata asipotumia akipata mimba ndio vizuri tu kwa kuwa namuhitaji...

Sasa kaka na dada zangu embu nisaidieni wakuu...hapa kipi kifuatie hadi awe anaelewa kabisa na mwishowe awe ni mwanamke wa ndoto zangu?ni kwa namna gani atajinyenyekeza kwangu nakutambua Mimi ni mme wake?nitumie njia zipi? Ili atulie ma broo ...msaada unahitajika Ila hajaacha kuvaa yebo za kutuna na yebo za vitobovitobo hata alivokuja alivaa...
 
chai
 
Chai
 
Yan hela zako na kupelekeshwa upelekshwe wew mkuu, muhimu wanaume tuache kuendekeza mihemko kuonjeshwa kidg tu umenogewa unatangaza ndoa

Nakushaur huyo demu ni wa ovyo hafai kuwa wife wako kutokana na maelezo yko, kuna tabia fulani mby anazo Ila anakufcha sasa wew muoe ndipo utakapozijua
 
Huyo unayempa ushauri unaona yuko sawa?
 

Unasikitisha kijana bado unakosa trait za mwanaume kamili ukweli mchungu jitafakari upya.
 
Duuuh msaidieni uyu dogo
 
KIMASIHALA NA BINTI ALIE NISUMBUA MUDA MREFU.

habar wakuu, mwishon mwa wiki ilopita nilikula utamu wa binti mmoja alie nisumbua kwa takriban miaka 4 , huyu binti ni wale wa 2000 , ni jiran yangu so kipind anakua na muona na kufahamiana , sasa mara ghafla binti akaja kua pisi Kali sio poa wahuni wakaanza kumiminika kwa Kasi ya 4g

Wakupata wanapata wakukosa wanakosa , na Mimi nikaona sio mbaya wacha nionje hii kitu changamoto kila nikiomba naambiwa siwez wewe ni kicheche ushatafuna ndugu na marafiki zangu , siwez kabisa kukupa utamu wangu labda nife nikasema poa.

Basi nikawa nikimuona na kumbushia hitaji langu lakin wapi kwa miaka yote hio kwakua binti hakua mtu wa kunichunia wala kukasirika hivyo haikua rahis kukata tamaa

Wiki ilopita nikawa naelekea kwenye bar moja hiv yenye hadhi flan nzur tu, kwaajili ya kuonana na kidemu changu kilikua kimerudi toka mkoa fulan ,

Sasa wakati naingia pale kulikua na vibe sana na watu japo sio wengi sana, nika nyoka had kaunta nika agiza kinywaji huku nikianza harakat za kumjuza ule demu kua nime wasiri

Mara ghafla nahis kushikwa mbavuni na mkono laini ukifuatiwa na sauti tamu ikisema afadhar nilikua nime boeka sana , kugeuka namuona binti nlokua na mfukuzia miaka yote hio kawaka sio mchezo , nika mwita kwajina lake na kumuuliza kalewa akajibu hapana

Nikataka kujua sababu ya yeye kua pale akasema Kaka na rafiki zake so wana piga tungi tu, so yeye akawa bored kwasababu hatumii tungi , nikasema poa wacha nikuagizie msosi akakubali na story zikaanza
Rasmi

Nikaomba tutafutiwe sehem poa isiyo na mwanga mkali na haina purukushani za watu ili niweze kaa na mrembo wangu basi tuka tafutiwa na tukaenda kutulia pale huku tukisubiri chakula

Nika mtaka demu apate kinywaj akasema maji Nika mwambia kula savana utajisikia poa na haina kirevi cha kumbabaisha mtu mzima kama yeye akasema poa , kinywaj ikaja na akawa ana ilamba kama mbwa akinywa maji

Msosi ukaja akapiga na tungi lika mkolea nika anza vunja boundaries za hapa na pale namshika huku na huku afu demu anaona fresh Tu , mara ule demu mlengwa akawasili nikamjuza nilipo akaja na akaketi upande wa kushoto so Mimi nikawa kati

Mademu wana fahamiana na wana kaumdugu kwa mbali so story zikawa zao Mimi kazi yangu ku chagiza Tu , na kupapasa kile kitoto cha 2000 kiakaanza kurembua na vicheko vingi mwenzake akauliza vipi leo unarudi home saa ngap maana usiku umekua mkubwa mara kakajibu Mimi nipo nipo sana

Nikasema yes leo kana kwisha haka nikaendelea kuwaagizia mvinyo na story mingi mara ule demu wangu akaenda chooni so huyu nika mwambia nipe namba nika buki chumba then ntakujuza uweze kuja nduguyo asije ona miyeyusho

Kakasema poa mwenzie kaja nika waambia endeleeni nakuja Nika buki chumba na kua toa oda ya mvinyo ntaukuta mle , so nika Rudi nika mpanga na demu aende chuma Fulani ntamkuta mle , demu akatangulia nikabaki na huyu mwingine so Uhuru ukawa wa kutosha full kula Lita miksa na mipapaso ya kutosha dhen kama busu saa nika mwambia tuondoke Kwan usiku umekua mkubwa

Akasema poa nika mchukua had home kwako na busu mengi then nikarudi bar na kuingia room moja kwa moja , nikamkuta mtoto yupo vibe ndani ya taulo mixer kucheza na kamziki nikasema poa , nika ingia bafuni nikaya mwaga dhen Nika mrudia mtoto nika ichakaza bao 3 za kibabe na alfajir nika ichakaza mbili nika mwekea na 20 ya supu

Ikawa nikamchezo sikuizi naipiga bure Tu ni Mimi Tu na hamu zangu ,ila mtoto NI mkali na mtamu kinyama, NAWASIRISHA WAKUU.
 
Safiii sanaaa mwambaa
 

Unatumia nguvu nyingi usipo itajika, mwanamke anakuvuruga hivyo unafikiri utamwelewa
 
Wanawake mpaka akupe mbunyenye ameshakupa credit fulani, na ukimsumbua sana ukikaza hakuna mwanamke anakataa ni muda tu utaamua, sasa mpe heshima yake
 
Sio kwa ubaya au kuwafarakanisha ila sioni kama mkitoboa... Mke wakuishi nae kwenye ndoa kuwa makini sana chagua mtu anaekueleaa katika hali zote na wewe unamuelewa nyakati zote, muwe na lengo moja upendo ni jambo la kwanza mambo mengine yanafuata,

Kumaliza cpmputer kozi vinaingiliana vipi ratiba za kuolewa hiyo pekee sio sababu naona anakwepa kuingia kwenye commitment ya ndoa
 
Na kitufe akakutunuku ukapita nacho kitufe ndio nini mkuu
 
Kwa matumizi hayo ya hela ndo unataka kuoa huyo ??? Subil ufulie siku mbili ndo utaona sura yake kamili
 
Huyo anayetoa mtaro ukimchoka nitupie namba yake pm kiroho safi baharia
 
Utakuja kupigwa tukio hilo , hadi utafungua Uzi hapa jukwanii,Yani unasema kabisa unampenda? Huyo ni Fox mzee,macho kwenye salary,kama unabisha siku unamgonga ,akilala kagua hiyo simu yake ndio utaelewa huyo wakuoa au wakupita nae tu..

Asee acha hizo kauli eti unampenda,As a Man sijui una gain nini ukisema unampenda Demu kama uyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…