nipeni mbinu za kusimulia kama hivi, maana nina za kimasihara kama 3 hivi alafu zipo Hot balaa ila kusimulia siwezi, yaani neno la nyuma naliweka mbele na la mbele naliweka nyuma yaani tafurani kabisa, nikiona mwenzangu amesimulia vizuri kama hivi namuonea mwivu kinyama.
 
Umekula mwanafunzi ? Tena mwenye gono wewe miaka 35 inakuhusu
 
Mfanyie mpango na huyo demu apate dozi
 
Wanawake wakianza kuhadithia matatizo wanayopitia na mpenzi/mume wake ujue upo kwenye hatua ya kushinda na huwa ni rahisi sana maana anakua kwenye hsli ya huruma
 
Njia bora zaidi nikukaa njia kuu[emoji23] mle kimasihara hata mkeo[emoji12]
 
Daah [emoji23]
 
Hii page imeenda sana
 
Hii Mambo gani Sasa, maliza story bana
Unatubania sisi CHAPUTA

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 

Yebo za vitobo[emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…