nyingine,
kupindi flani nilikuwa moro kimasomo,nikapokea ujumbe toka kwa x wangu kuwa anti yake anakuja moro kapangiwa shule pale nimpokee.

Kunielekeza huyo anti yake, tuliwahi soma nae tuition kipindi flani likizo alitokea dar, alikuwa na nyodo balaa hapo mimi nimepanga chumba kimoja

basi anti kafika nikampokea, kila kitu kikaenda sawa mziki wakati wa kulala nikamwambia chumba ni hikihiki naona anajishauri kinyama (sikuwa na muda nae maana ana vi nyodo vya kiwaki ) nilalala kuja kustuka usiku nae kalala na jinzi nikaona isiwe tabu wacha niwe mpole

siku ya 2-3 tunalala ila sina muda nae akaanza lala na nguo nyepesi ila bado mteule sina muda (maana nakajua kwa nyodo nikaona nisiende haraka)

basi siku moja tumelala katika stori nikawa naongea upande wa shingo yake naona mtu anajinyonga nyonga nkajua huyu mbovu shingoni,wacha nianze kupuliza na kuhemea maeneo ya shingo hahahaha mambo hay

mara naona mtu ananivuta kichwa kukielekezea shingoni, ile kutoa ulimi kumpapasa mtu katoa mayowe nikacheka sana nyodo zote kumbe password iko kwa shingo

kilicho fata ni anti kutotafuta chumba kwa miezi kama mi 5-6 tuko pamoja yule X akinishukuru kwa kumpoa aunty yake (hakujua naishi nae)
 
Nilitegemea watu waje kufunguka cha ajabu hapa nako kumegeuka kijiwe cha strory. Maana walioleta ushuhuda ni watu waeili tu. Mleta uzi na mchangiaji mmoja tu.
 
Bora umesema kweli mkuu! Uzi umekuwa wa stori tu sasa. Ni vyema uzi ukahamia JF Chit-Chat..... maana umepoteza lengo
 
Haya endelea kugawa! na unatangaza biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…