Dah! Tumelaaniwa wengi aise
 
Wewe ni mazabzab lugha ni moja hakuna kwa dimension nyengine

Unapokosolewa unabidi ukubali mpumbavu mmja wewe

[emoji1787][emoji1787]Watoto wa Zama hiz shida
Wewe ndio ambaye unaonekana kuwa uelewa wako ni mdogo.

Huwezi kulazimisha matumizi ya lugha kwa namna unavyoelewa wewe.

Hakunaga dimension moja linapokuja suala la lugha, hasa yenye maudhui ya kiimani.

Neno rehema linatumika sana na tena kila siku kwenye ukristo. Na halihusiani na kutaka kufa.

Kwahiyo sio sahihi kusema kuwa wewe umebobea katika masuala ya kiimani.

Na kama kweli ungekua umebobea kwenye imani, nina uhakika usingekua hapa kwenye uzi huu
 
We nae Una hang over nimesema nimeboboea kwenye Imani au lugha ya kiarabu?

Shida kubwa hamtaki kukubali ukweli

Kwahiyo neno "upumbavu" kwa sababu ya dimensions unaweza sema sometimes inatumika kama furaha? Huyo amepuyanga Tu....
 
Jamani! Sasa huku ndo kula tunda kimasihara?
 
We nae Una hang over nimesema nimeboboea kwenye Imani au lugha ya kiarabu?

Shida kubwa hamtaki kukubali ukweli

Kwahiyo neno "upumbavu" kwa sababu ya dimensions unaweza sema sometimes inatumika kama furaha? Huyo amepuyanga Tu....
Hivi unajua tofauti ya nguvu ya hoja na hoja ya nguvu? Wanaokukosoa Wana hoja! Kinachokufanya uhamaki na Nini??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ulisema Mungu akurehemu means unataka akupeleke kuzimu

Muache kutumia maneno kama amjui maana yake

Ndio maana mtu akifa tunasema

Allahu mafirrahu warhamahu waskana WA fii Janna
Kwani kuna ubaya mtu kuomba rehma kwa mungu? Mtu anaposema mungu anirehemu anamaanisha mungu amhurumie na huruma si kwa marehmu hata sisi tulohayi tunahitaji sana huruma yake kwa makosa mengi tunayoyatenda
 
Kote umeandika vzur,ila mwishoni tu hapo i ll never look for another women,tayari obsession hiyo na itakumaliza taratibu [emoji2]
 
Hivi,mpaka wa leo japo wanawake inaonekana ndo waliliwa sana,tena peku.

Mliokula,watoto zenu mjue ndo wapo mtaani, wengine mlioanza miaka hiyo, mabinti zenu huenda wameanza kuja mjini au walikuwa Mwananyamala huko.

Wangapi hapo wamekili kuliwa. Poleni, ndo maisha, mlikutana na wajanja. Sasa, kwenye lile kundi matata la LGBT, nyie hamliwi kimasihara? Mnachungulia tuuu
 
Ilikuwaje!? Story inaonekana tamu ila umeipa summary sana
 
Duuuh, ni tanzania hii hii niliyopo mimi[emoji16]

Biashara nje nje dadeki
 
Ukiwa na akili kama hizi utatombewa mpaka ujinyee kisa stress, mwanamke akiamua kutombwa hata awe na simu ya kitochi isiyo na namba yyte kwenye phonebook atatombwa tu...na anaweza akawa ana magroup yte hayo na asitombwe..nadhani bado huwajui wanawake na maigizo yao
 
Nilivomla kimasihara mke wa mtu

Nilikuwa kwa walima korosho kusini, huyu mwandada alikuwa ni jiran yangu. Siku moja nikja gundua demu wangu anamawasiliano na mme wa huyu dada na alikuwa kama anamtingoza hivi, nilipomuuliza akasema ni marafiki tu na wala hakuna lolote.

Niliamua kutevenge kwa mke wake , basi ck hiyo nikawanapiga nae stor, akasem ninadharura na Milion moja kwa ajil ya kilimo na mme wake kakataa kumpa basi wana nikamwambia nitakupigia cm uje uchukue sehemu, kesho yake nikampigia cm akaja lodge nikapiga nilimpa hela lkn kwa ahadi ya kunirudishia, na ashanirudishia hakunidhurum na ckurudia tena
 
Ulinunua k kwa milioni moja

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…