Hivi wewe kuna kitu ujui hapa duniani hahaha

Much know Sana

Ila rejea awali utaona alivyopuyanga kama kweli upo Makini
 
Ndugu wazinzi mko poa [emoji1]...Naombeni dua zenu jamn Shemeji yenu amesafiri alafu amekaa na jamaa mmoja iv [emoji2] asa nikiwaza na mastory ya umu na ivi viumbe vilivyo nabaki naumia tu ...Leo ndio nimeamin kuwa mkuki kwa ngurue ila kwa binadamu n mchungu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitakileta kisa kimmoja Cha safari. Hahahahaha
 
Duuuh kipindi hicho hukupendelea kula 0713....Kipi sasa kilichokufanya uanze kuzibua mitaro??
 
Nimekamata binti mmoja huku Mtwara juzi, jana akaja kulala nami Hotel... Aaaaah .... Astaghafilulah.... Binti amekalia uboho wanyu anakatika anazungusha kiuno kama feni mbovu.

Nikaanza kuona kuwa anafanyia sifa anaweza nisababishia majanga. Je hakuna uwezekano wa huu ukitu kukatika? Maana kabisa nianza kuhisi hilo jambo can happen nisipo kuwa makini. Maana ilibidi mirindimo mingine niwe namfuata anakoenda ili kuepusha umajeruhi.

Na huu ukatikaji wanajifunzia wapi? Mpaka nikamkumbuka Manka wangu huwa hakatiki hivi afadhali na yeye huyu Mwantumu atanivunja uume. This is too much.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…