Umekutana na anayeiuza kijanja sio wa kupanga foleni riverside, anyway kaza mzee inawezekana ndio ukawa ubavu wako.
Inawezekana ni kweli mbona ni wengi wa aina hiyo mkuu? % kubwa ya kimasihara huwa ni hivyo sema tunaipindisha. Kuna siku nimesafiri kwenye basi nakuja Dar akaja dada mmoja siti moja na mm. Yeye ndo kaanza kunichangamkia. Safari ilivyoanza tu akaniomba kaka samahani naomba nikuegemee. Nikashangaa kwanza anataka anilalie begani mwangu. Nikamruhusu, baadaye kidogo akawa analala kwenye mapaja yangu. Nikaona huyu malaya wazi wazi. Nikimwangalia kila sikio limetobolewa matundu manne alafu akavaa hereni kila tundu. Uvaaji wake kavaa sile jeans zenye kuchanwa chanwa magotini, ulimi kautoboa nao kavalisha urembo, usukaji wake wa nywele ni wa kimalaya malaya tuu. Tuliposhuka kupata chakula kaniletea soda... Wakati safari inazidi kukolea nikafanya jaribio la kupima oil kwa kupitisha mkono kwenye nyonyo naona katulia tuu, nikipitisha kiunoni katulia tuu. Nikasema huyu fala sana. Nikaomba namba kwa kumzuga ili aone kama namtaka alivyoshuka mbezi akaniacha mimi naenda ubungo. Nikadelete namba yake fasta
 
Amazing
 
Kwa style hii wake za watu wanakosea sana, huenda ikawa jamaa hana mshiko na good life kama alivodhani kwako.....kumbe wewe ulipita mishe mishe tu.
 
Njoo tugawane dhambi
 
sie ambao wake zetu wamesafiri tunapitia pitia humu kama kuna kisa chochote
 
unaishia kusonya tu
Ukweli unaambiwa wake zenu/zetu wanakosa uhuru katika mazingira ya nyumbani/mtaani. wakipata mwanya wa safari hizi za kiofisi au biashara huko anajiachia bse hakuna anayemfuatilia. Akipata fursa yeyote lazima aitumie ipasavyo. Kitu kingine wakiwa safarini akikutana na mwanaume anayemjali walau kulipa lipa bill za hapa na pale anasevu hela kama msosi, vinywaji au hata lodge kupitia mgongo wa huyo aliyekutana naye huko safarini. Ni wajanja sana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…