Na ukijua kuna kisa chochote unaconnect dots eeeh? alafu? Unafanyaje mkuu ukihisi ndo mkeo kaliwa kimasihara
Kuna mtu alishafumaniwa humu akielezea namna alivyokula mwanamke aliyesafiri naye toka Iringa to Mbeya kumbe jamaa yake yupo humu.

Hamaa alijitoa kabisa JF kwani demu alikuwa anampigia simu akimueleza adeki geto anakuja kumbe alienda kuliwa na mchizi.
 
[emoji16][emoji16] Nilisoma hii.

Sema jamaa alikua muwazi
 
Huenda hata Mkeo ameanzisha varangati makusudi ili aende kwao akapashe kiporo na X wake. Ila bila kutarajia amejikuta kuondoka kwake imekuwa fursa ya kumkaza shemeji.
Wataalamu wa betting watakwambia "Both Teams scores".
Naunga mkono hoja, Mashemeji ni watamu sana
 
Hahahaha nimemkumbuka mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…