Baada ya hapo ulipima ngoma? [emoji23]
 
Habari za mida Wana jf,ipo hivi nipo kwenye mahusiano na manzi mmoja hivi,mahusiano yetu Yana kama mwezi hivi,changamoto ya huyu manzi hataki kutoa tunda,yeye ameng'ang'ania mpaka tufunge ndoa,afu nikijiangalia Sina mpango wa kuoa saiv,lengo langu ilikuwa kupiga na kupita,nipeni mbinu mabaharia
 
Piga halafu pita😂
 
nenda nae taratibu ukimaliza miez 2 uje umuite mkutane sehemu jifanye unamawazo sana lakin cku hiyo usimwambie nn kinamsumbua kesho yake muite gheto mwambie aje ili umwambie zen mwambie unaumia coz unahitaj sex na huna mtu wa kudu nae ndomaana haupo sawa ...atakuhurumia zen piga sasa
 
Kazi ndogo hiyo, Siku nunua pete hata zile za elfu 20 pamoja na keki ndogo ya elfu 10 alf chukua pete iweke katkat ya keki, mwambie umemletea zawadi ila unatak aifungue mbele yako....akifungua atakutana na pete iliyo katikat ya keki,

Mwambie pete hiyo ni ya uchumba ishara ya kumuonyesha kwamba unatak kumuweka ndani....chukua mvishe kimahaba ila usipige goti atakuamin na ataon upo serious sana,

Siku hiyo hiyo subiri ifike usiku kama saa 5 hivi anza kumwambia kuwa una hamu ya kufanya nae mapenzi japo siku moja tu maan umezidiwa sana.....kiuhalisia atataka kuludisha fadhila kwa upendo uliomuonyesha siku hiyo...hatosema Hapana Trust me.

Ukila tunda uje hapa utoe ushuhuda.
 
Halafu kuhusu pete afenyeje? Acha utapeli bana, chululu inatolewa bila hayo maigizo, hata sasa kuna watu wanajulikana siyo waoaji na wanapewa kwa vile yeye amekaa kaa ki husband material ndo anapewa hizo sheria feki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…