Siku ya kwanza kufika kileleni, mdada alishindwa kabisa kujizuia. Kila kitu kilitokea kwa mchanganyiko wa msisimko na mshituko. Ghafla, mguu wake mmoja ulijikunja kama ngumi, na wakati huo huo, akaachia kauli ya kushangaza, "Futia hilo tisheti langu, nitafua kesho!"

Jamaa aliyekuwa naye alibaki ameduwaa, akisimama katikati ya harakati huku akijaribu kuchakata kile alichosikia. "Mdada, hivi uko serious? Tisheti gani tena? Na unafua saa ngapi?" aliuliza huku akijizuia kucheka.

Mdada, bado akiwa kwenye hali ya kuchanganyikiwa, akajibu kwa sauti ya upole, "Hata sijui nilichosema, acha tu ni pumzike. Mwili wangu umeamua kufungua viunganishi bila idhini yangu!"

Jamaa akacheka mpaka akashika tumbo, "Kumbe kuna warranty kwenye haya mambo, maana leo tumepata kosa la kiufundi."

Siku hiyo iligeuka kuwa kicheko cha milele, na kauli ya "futia hilo tisheti" ikawa msemo wao wa siri kila walipokumbuka tukio hilo.
 
Duh
 
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
Tulikuwa na mazoea ya kawaida na Askari Polisi mmoja wa kike, basi ijumaa moja nikamtania twende zetu tukapige wine mahala akasema poa, tukafika mzee tukapiga pombe ya kulevya (K vant) mixer na tonic na slice za lemon na ice cubes basi furesh, yeye akawa anapiga Serengeti lite bariiid, basi tukapiga mitungi hukuntukisukumia na nyama ya mbuzi iliyochimwa kiustaadi na Mmasai Noah hadi kwenye saa 5 hv usk. Tukanyanyuka zetu hao tukaondoka, aisee kufika hapo nje kwake namshusha nikamwambia naomba nikuage nikasogeza mdomo nimbusu, ghafla mtu ananirukia na kunikumbatia ile as if she missed hiyo kitu kwa kitambo kirefu na kama alijitegesha nikasema hapa ngoja nikamilishe jambo Amri ya Sita kuivunja kimasihara kitu gani, si nitatubu....chap kwa haraka uzur nilikuwa na CO ni kama nilihisi linaloweza kutokea...baadae alikuja kuolewa na jamaa ana mawe vby nikitaka nirejee alikuwa anaogopa kwamba mchizi atamshtukia nikajiweka kando kukamilisha usemi Mke wa mtu sumu!.... Nakukumbuka sana Happy!!
 
Mkuu unasema alipiga salute ya mkono wakati hakuwa amevaa gwanda au mimi ndio nimesahau jeshi? Ninachojua askari asipokuwa na sare zake, akikutana na mkubwa wake anasalimia kwa kubana miguu na mikono
 
Hance Mtanashati
 
Story nzuri sana
 
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo

Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period

Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara

Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…