Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberu
 
Sasa unalalamika nini kijana,kula hivyo hivyo kama unaona inafaa vinginevyo jiongeze tafuta wa kujifariji naye,ndo ushaingia mjini hivyo msukuma
 
Ugoro kwa masai ni jero tu bro......nauli yako itatumika vizuri au unataka maelezo zaidi,,,we mpeleke viwanja ale vyombo akiamka asubuhi nauli yako na gharama za vyombo atakuta ameshazirudisha uzuri huku sio kwa mabeberu
Baba acha tuweke wazi tu mtie ugoro kwenye nyagi, njiti ya kiberiti kwenye nyagi, tissue kwenye nyagi😁akilala ni masaa 12 unalomba hadi mdomo
 
Haya Sasa

Hatuna msaada na wewee
 
Mama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapata
Ukome kuagiza bidhaa mikoani na wakati hapa Buza zipo. Shoga yangu Mwajuma yupo single wewe unge oda tu usafiri bure hadi magetoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…