Yaan nchi isieendelee kisa mm kupost uzi wa ngono we uliona wapi watu wote tukawa na ratba sawa? Wewe kama upo ofsin na ukaamua kufungua mesej la jukwaa la mapenz ni upumbavu wako. Hata JF haikuweka muda wa kupost thread humu hivyo tusipangiane hata hao wazungu wanapost X mda wowote wanaojiskia na wao ndo wanaongoza kwa maudhui ya ngono. FANYA KAZI EUPEKE MAKASIRIKO MADOGO KAMA HAYA
 
huyo ni Malaya na hiyo ndoa hutaifunga .
 
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.
 
Hongera sana
 
Achana nae mshamba huyo, anajikuta kanyooka kama yesu
 
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.
unafikiri tutakuona una akili kwa kuandika viengereza vyako hapa kwa taarifa yako na sisi tunavijua hivyo kwaio watafute wasiojua kiingereza ndo uwafanyie hio bragging. MPUUZI WEWE mkikosa cha kujibu ndo mnajifanya kuandika viingereza hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…