Ah'lan_wasah'lan

(kusema ukwel kabsa) mimi sijawahi kuwa mvumilivu kwa manz anaenisumbua kwenye kutoa 'papuch'.

Huyu dada wakati nimekutana nae first time sikum treat km 'prospect lover' rather nilimfanya more of a friend, tulikuwa comfortable sana tukiwa pa1. Nahis nilikua wakwanza kufahamishwa matatizo yake kabla ata ya boi wake (km alikua nae by the time!).

Maisha yalimpiga apa mjini akarud kwao mkoani, baada ya miez km 7 iv akarud tena na mtu wakwanz kumpa taarfa ya ujio wake apa mjin nilikua ni mimi...sasa by implication nkahis alitaka kuja kwangu kulipa fadhila mana nilikua namtumia 'vipoketi money' wakat yupo huko kwao bila kuomba refund!

Off course alikua ananisumbua yy kutaka kuja kwang kuniona...nikajipanga, nikamwita ili aje niminyiminye CHANDA...sababu alonipa ilinifanya nifute kabisa namba yake...

MIMI: Hi! Naomb uje unitembelee weekend hii...
MANZI: Yan, T wangu apa nimechanganyikiwa kwel mwenzio..
MIMI: Unashida gan mrembo?
MANZI: Yani, apa mwenzio nimeibiwa nguo...kwahyo niache kwanza my nikiipata nitakwambia km ntakuja.
MIMI: Daah! Pole, umeibiwa nguo gani?
MANZI: Nguo ya ndan 'tight'
MIMI: Hahaha! Kwahyo kupatikana au kutopatikana kwa hyo tight ndo ita determine uwezekano wa mm na ww kuonana kwel mama?!
MANZI: We unachukulia poa lkn mi naona ni tatzo kubwa...je, km imeibiwa na washirikina!!

Share na wewe sababu ya kizembe ilofanya ukose papuchi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimpanga fresh jioni akaja geto huku na kule kumchojoa naona alama ya mchirizi tumboni dizain Kama alijifunguaga kwa operation mzuka ote ukakata na mashine ikalala kabisa nikamzuga kidogo Kisha nikamuaga nikawa nimekosa papuchi kinamna hio...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina mengi,ni kwamba nipo hoiiiii kwa kuzitumia papuchi kwa muda mrefu(miezi 8)consecutively bila kupumzika.Nilikuwa napitisha siku 1 tu na inayofuta ni mzigoni.Yani saa hii sijui nazionaje,sitaki hata kuisikia.

Endeleeni nazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahaha...Nishakujua nilikuona naye siku moja pale Seven ways


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…