Umegonga mule mule...nilikuwa na Mawazo kama yako...fake ID ni nini???ni pale Kila kitu Kuhusu wewe ni fekeroooooooooo
 
Hujala ban Hadi muda huu kweli??? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
 


Ukute mama Deborah hata ndogo unatoa ila Kwenye keyboard unamsushushua Demiss kiasi hiki...Siri ya mtungi.......
 
Hivi kwani jamaa kala ban? Sababu ni huu Uzi au Kuna kingine?
Kuna lijamaa flan linaitwa li Patigoo lilivamia uzia likatuvuruga kwel ndio wadau wakawa wanapmbana nae mpaka kupata ban.
Akajitokeza mwamba mmoja hiv alituma text moja tu ndio ukawa mwisho wake.
Tokea hapo uzi haujawa stable.
 
Kuna lijamaa flan linaitwa li Patigoo lilivamia uzia likatuvuruga kwel ndio wadau wakawa wanapmbana nae mpaka kupata ban.
Akajitokeza mwamba mmoja hiv alituma text moja tu ndio ukawa mwisho wake.
Tokea hapo uzi haujawa stable.


Huyu Mama Debora inabidi na yeye apatr mbabe wake la sivyo anatuharibia Uzi tena..
 
Namkumbusha Demiss , hii bado hujajibu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…