Mabaharia, uongo sio desturi yetu..hizi mambo za chai tuwaachie wadada ndio huandaa kwa ajiru yetu mabaharia..[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikigombana na malkia wangu nahakikisha niko nae hadi hasira ziishe maana timu bembeleza kaka wa hiari ni wabaya sana
 
Hapa mchezo mzima ulikaa sawa baada ya kuonyesha ni good boi ngome ikabaki bila ulinzi mwisho ni mzuri big up...
 

Nakupenda sana
 
Uzi umeingia nongwa maana mm natembea na gundu wengine wako swafiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshamsaidia Kumuitia Watu Wa Kumuelewesha.

Amachofanya Ni Sawa Na Kwenda Bar Uagize Maji Halafu Uchukue Mic Na Kuwatukana Wanaokunywa Pombe

Simu Zetu, Bundle Letu, Ac Zetu, Akili Zetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabaharia hatujari...[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Mama Debora nikuambie kitu, maisha haya kila mtu ana njia yake na anaishi vile anaona inafaa. Kina siku niliuliza, hivi jf(mmu) napo kuna wanunuzi wa uchi na wauzaji? Jibu nililopewa ni kuwa wapo kama walivyo huko mtaani kwenu/kwetu.

Huyu kaamua kuonyesha maisha yake openly, sio kitu cha kujivunia lakini je, huko mtaani wadada hawaliwi ovyo tena kwa mkopo tu? Huenda kwa nyendo zake kuna watu wanajifunza, labda kwa vile na yeye anafurahia kuchapwa ovyo, ilà wengi tu wanachapwa kindezi sana.
 
Eti kwenye simi lako, laonekana kubwa sana hilo simi lako eeeeh?[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani watu hawajali afya zao kabisa.
Yani mtu anakutana na demu waluwalu, kwa vile hana nguvu za kutosha, anaingia chumvini ili ku-buy time, mara anachomeka pia bila kinga, asee!
Hivi vihoja huitwa majuto ni mjukuu na kwa kasi hii na mambo nilioshuhudia tunahitaji uhamasishaji mkubwa sana kutambua hatari yake.... Mua unazamisha meli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…