Vipi Ulikumbuka kutumia condom mkuu??????
 

where there is unexpected sex, there is unexpected death too
 

Mmmmmmmmh ayaaaa
 
.. Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya???? And how did it happen??????
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED???????
Pengine sio bahati mbaya hasa, labda ni vile mnakuwa mmefanya maamuzi kwa haraka kuliko ilivyo kawaida. Unajua mwanaume akimuona mwanamke(au vice versa) it is just a matter of seconds anakuwa ameshafanya initial assessments and hata kupanga strategy za kutimiza malengo yake. Na kuna alot of non verbal communications mnafanya na muhusika. Sioni bahati mbaya katika hayo matukio yako.
 
Unexpected sex haijawahi kutokea. Siwezi kufanya na mtu ambaye hata sikuwa na mawazo naye. Na kama ikitokea basi lazima huyo mtu nilikuwa namtamani long time...kama ambavyo namtamani mtu fudenge now!πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Mmmmmmmh!!! Haya tatty.
Huyo Fudenge must be one of the lucky guys in this world.....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…