mwaka 2016 baada ya majibu ya form iv kuja yakiwa kombo nilibaki nyumbani nikiwa sina hili wala lile, ikabidi wazazi waniangalizie kachumba kangu ka kiaina hapo hapo home ila kwa nje kidogo, hivyo nikawepo tu nyumbani sikuwa na mishe yeyote zaidi ya kwenda kijiweni kwa washikaji zangu kipiga story mbili tatu ktk mabanda ya kuuzia kuku pale katoro mjini..siku nenda siku songa nikiwa zangu kitaa sina hili wala lile mzeee nilikutana na pini la màana kiasi kwamba kwa kipindi kile sikuwahi kuona pini kali kama ile kwanza; guu la bia, kiuno nyigu, chuchu mwiba arafu mtoto chocolate colour asee kama kidume udenda ulinitoka sijapata kuona..basi bwana nikawa nimeipa Hi kisha nikajisepea zangu huku nikiisindikiza kwa maneno yale ya bwana AY nakula kwa macho.. kwa kuwa kwa kipindi kile sikuwa na mishe yeyote hivyo nilikuwa na mda wa kufuatilia mabinti kwa mida wowote ninapo jisikia hivyo ndani ya siku chache nikawa nimejua yule binti anapoishi..
Basi bwana baada ya kujua anapoishi nikawa nasikilizia maeneo karibu na kwao, nikimkuta anaosha vyombo au anafanya shughuri yeyote alikuwa akinionyesha kwa ishara kuwa nimsubiri nami niliganda pale hata akikaa all most 30mns, kwa kuwa mtaftaji hachoki sikuwa na namna zaidi ya kumvumilia, basi baada ya kumaliza shughuli zake alikuwa anakuja napiga nae story za hapa na pale hatimaye baada ya mda nikawa nimemuweka wasi juu ya hisia zangu kwake ila alinitolea nje, kama ilivyo kawaida mabaharia huwa hatuchoki basi bwana nikawa mtu wa kokamaa nae hivyo hivyo ila binti tizi hataki katakata.
Siku moja nipo na mshikaji wangu tunapiga story nikawa nimemdokeza kuhusu hilo swala ambalo hakuwa akilijua kabla (maana huwa sipendi kuwaambia washikaji zangu mambo za mademu wangu sana maana huwa naogopa competition). Jamaa akawa kaniambia kuwa nilikuwa nimechelewa kama ningesema mapema mbona ningeshamla kitambo, basi akanishauri kuwa huwa ana dawa ya mapenzi(nahisi ni aina ya wale vijana wanaopenda sana kuishi kwa kuwa amini witch doctors), jamaa akazama ndani akachukua vidawa flani vyeusi akaniambia weka magigoni kwa hiyo kila neno utakalo kuwa unaongea yeye atakuwa anaona ni taamu TU[emoji23]basi kweli mzambuli nikachukua zila miracle kisha kama kawaida nikasepa kwa yule demu mishale ambayo tumezoea kuonana, nilimkuta anaosha vyombo hivyo akanipa ishara nimsubiri ilikuwa kama saa11 jioni yaani mpaka ilifika saa1 kasoro ndio akaja, nilivyoona anakuja nikachukua ile dawa na kuiweka magigoni, nikampatia Hi kisha tukaanza story nilivyoona anajibu fresh basi nikamkumbushia swala langu, mazee yule demu alinijibu hovyo kushinda siku zote ambazo nimewahi kuonana nae yaani alinitolea faka za maana kuwa me ni mtu gani nisiye mwelewa yaani alinitukana kiasi kwamba nilijiona fala la mwaka[emoji25]basi akamalizia na unikome na mambo yako ya kijinga kisha akasepa..baharia nilijisepea nikiwa mnyonge kama niliejamba ukweni, but niliilaumu sana ile dawa na kumlaumu mshikaji kwa kunisababishia makubwa zaidi, hivyo ile dawa niliitupa mbali mno, baada ya mda nilivyokutana na jamaa na kuniuliza feedback kisha nikamjibu kinyonge aiseee hakuamini.
Basi nikaamua kuvunja matumaini yote kwa yule bidada na kuendelea na mambo yangu tu, hata nikikutana nae kabla sijamfikia babadili njia na kujisepea zangu... kama masihara siku moja kama kawaida nilivyomuona nika-change njia akawa kaniita, nikamuuliza vp akajibu mbona hivyo
Bulaya001 fanya kunisikiliza tu akawa kaja karibu yangu na kuniambia relax kisha akaniambia naomba unisindikize sehemu basi mida yenyewe ilikuwa kama saa10 hivi, tumetembea wee naona anajisemesha maneno kibao mimi hata simjari baadae akajisemesha hivi kwako huwa ni wapi nikawa nimemuonyesha kwa kidole uelekeo wa ghetoni kwangu akasema tutapita wakati wa kurudi.. wakati tunarudi kama masihara akasema embu twende nikapaome, hao tukapitia uani ili wazazi wasilete shobo tumefika kama zari mvua ngoja ianze kunyesha me nikaona ngoja niwashe ka- runinga kangu ka chogo inch 10 hivi pale si nikaweka nyimbo za west life, dada wa watu mara ooh hizo nyimbo huwa zinanikumbusha mbali sana kuna ex wangu ndie alikuwa akinipigia ila baadae akanitenda mara ooh nasikia joto( wakati mvua inanyesha ila yeye eti anahisi joto) si akapunguza baadhi ya nguo mimi sijasema chochote mda wote huo yeye ndie anajisemesha na kujijibu, maana nilikuwa nikikumbuka zile faka zake nashindwa cha kusema, baadae kipindi natoka zangu kitandani yeye yupo kwenye kochi, nilikuwa naenda kuchukua ndoo ili nikinge maji ya kunywa, si kwenye kunipisha ili nipite akapanua miguu ili mguu wangu mmoja uanzie ktk ya miguu yake kisha mwingine uvuke[emoji125]..najua mtakuwa mmeelewa..ile napiga tambo ili nivuke mzee kama vile niliteleza na kumlalia dada wa watu ile naenda kujizuia ili nisijibamize kwenye kichwa chake, mzee nilikutana na bonge la lips kisha ikafuata French kiss ya maana, tulikiss baada ya mda nikapeleka mkono kupima oil, yule demu aligoma, itakuwa hapendi kushikwa kwa finger huko down nilishuka chini na kulamba sana (ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuzama uvinza) mzee nilikutana na radha flani ya chumvi yaaani sio nyingi wala sio mdogo yaani utamu flani kama wa jasho ulivyo baaada ya hapo nikamsaula nguo..tomasa sana, kutokana na kunisumbua kwa mda mrefu aiseee nilimpiga pu*mbu kiasi kwamba sijawahi kupiga kama nilivyompiga yule bidada, alikuwa kavalia makilikili zile kamba mpaka magotini wala sikumvua alibaki nazo hivyo hivyo kama jinsi mademu wa xvideoz hufanya.. kiukweli nilimchapa na mvua nayo ilizidisha kunipa company hivyo akitaka kuondoka namwambia hii mvua utaenda vp, haujui tumeumbiwa kwa udongo basi anacheka sana[emoji16][emoji16]..nilipiga round 4 fupi fupi, kutokana na kumkamia kwa miezi kadhaa, baada ya mvua kukata alijisepea..
Baada ya hapo showz ziliendelea kupigwa daily mpaka akajikwalia ujauzito wangu ila alikuja kudai kuwa umeharibika kisa ana michango, ndio ukawa mwisho wa mahusiano yetu maana me nilijua kabisa katoa, ila yeye alinithibitishia kuwa kama nahisi kaitoa basi nimpe nyingine ila niligoma na kumwambia kuwa sikuwa nimejiandaa kuwa baba hivyo kama ni kweli umetoka ujauzito ule basi tusiendee maana hata taarifa za ujauzito wake zilinitia presha sana..ila sahizi nimekumbwa na ukata sana sijui nimrudie tu maaana ugwadu unanitafuna sana, arafu mademu wote wangu wame- separate na kubaki kama nilivyo[emoji16][emoji16]ila nahisi nikimrudia natajithibitisha kuwa nipo wa chini sana kitu ambacho sitaki kabisa.
Sent using
Jamii Forums mobile app